tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Mwaka huu wa 2018 ni Tanzania Agriculture Development Bank ndiyo watanunua zao la Korosho kutoka mikoa yote ambayo wanalima Korosho ambazo zinakadiriwa kufikia tano 200,000
Na kwa mwaka 2019 nauliza ni nani ambaye atanunua hizo korosho baada ya mwaka huu wadau wa korosho kuondolewa katika kununua hizo korosho?