Wewe Hadi mtu anataka kukimbia nyumba yake usizani mchezo. ......ndio maana Hadi Mimi nilimshauri vile ili tu waendelee kulea watoto japo kwa mbindeSijui ni kwa nini wanawake wakioneshwa upendo wa kweli hukengekeuka.
Umemshauri vizuri bro aisee.
Saizi anakula tu maisha bro wa watuHuo ndio uwanaume sasa sio unaona mwanaume mwenzio anateseka wewe kazi kupiga domo na kumcheka hayo mambo ni ya kishoga
Mkuu inabidi upewe cheo cha ugeneral kwa wanaume makini maana sio kazi ya kitoto kumbadilisha aliyekuwa mr.nice guy kuwa bad boy
Kwa hiyo huyu bro angetelekeza familia ndio ingekua poa....?Umeharibu ndoa ya watu... just imejen huyo bidada ajue kuwa we ndiye chanzo cha njiwa wake kupaa!!
Kama kawaida katika harakati zangu za hapa na pale nikiwa kwenye fukwe nabalizi akatokea bro mmoja tusie fahamiana ila tulisalimiana na kila mtu akaendelea na mishe zake 2017 hiyo.
Mbona nimesoma. Ni hivi:, bila wewe kumpa idea jamaa hadi sasa angelikuwa bado yupo ndani ya cadge.Soma Tena utaelewa
👍Saizi anakula tu maisha bro wa watu
Ndoa haiharibiwi na mtu wa nje rafiki. Hata shetani uwezo wa kuharibu ndoa hana isipokuwa mwanandoa au wanandoa wenyewe.Umeharibu ndoa ya watu... just imejen huyo bidada ajue kuwa we ndiye chanzo cha njiwa wake kupaa!!
Hata akikengeuka usiache kumuonesha Upendo. Hivi unatambua kwamba hata kutoa adhabu kwa kipimo halali kutokana na kosa nako pia ni kuonesha Upendo? Mfano Mungu kuwatupa watu motoni usidhani kwamba hawapendi. Anawapenda sana tu.Sijui ni kwa nini wanawake wakioneshwa upendo wa kweli hukengekeuka.
Umemshauri vizuri bro aisee.
Ujasiri wa mke kukufanyia hayo yote inategemea na mwanaume ulivyojiweka. Maisha ni mwandiko, unaandika wengine wanakusoma.Dah wanawake wanakwama wapi jamani. Una mme muelewa, anakujari, ww mwenyewe beki tatu, huna hata pa kupatia 100. Lkn umejaa kiburi na dharau.
Imeniuma sana. Huyo jamaa asigeuke nyuma.
Wanawake wanajazana sana ujinga wakiwa wao kwa wao yaani kwao ni rahisi kuamini yule mwanamke ambae hadi kula yake inategemea dudu, na kuzurula mitaani Kama paka shume wanaamini anaishi maisha mazuri kuliko wao ambao wameanzisha familia na wanatakiwa kuzisimamia na kuletewa kila kitu nyumbani.Dah wanawake wanakwama wapi jamani. Una mme muelewa, anakujari, ww mwenyewe beki tatu, huna hata pa kupatia 100. Lkn umejaa kiburi na dharau.
Imeniuma sana. Huyo jamaa asigeuke nyuma.
Kuna kusamehe kwa Aina mbili kusamehe ili mambo yaende sawa na kusamehe ili wote muharibikiwe chaguo ni lakoHata akikengeuka usiache kumuonesha Upendo. Hivi unatambua kwamba hata kutoa adhabu kwa kipimo halali kutokana na kosa nako pia ni kuonesha Upendo?. Mfano Mungu kuwatupa watu motoni usidhani kwamba hawapendi. Anawapenda sana tu.
chawa in da houseHongera dogo ila punguza uchawa asee. Hapo umemganda bro kisa anakuweka town tu. Angekuwa kapuku wala usingempa ushauri wowote.