Mwaka 2017 nilikuwa na bahati ya kuitwa kwenye interview ila sikuwa na bahati ya kupata kazi hizo

Mtarban

JF-Expert Member
Jan 14, 2015
3,818
5,007
Nimemaliza chuo mwaka 2016, na kwa sasa nafanya kazi na shirika Fulani hapa Tz. Ingawa nafanya kazi ila sijaridhika na mshahara ninaolipwa na ndio maana niliendelea kupambana kutafuta kazi nyingine.

Katika mwaka huu unaomalizika nilkuwa na bahati ya kuitwa kwenye usaili lakini kupata kazi hizo ndo ilikuwa tatizo. Nilifanikiwa kupata moja tu ambayo ndio nafanya kwa sasa.
Kwanza niliitwa na shirika LA Norwegian refugee council nafasi mbili tofauti lakini zote nilikosa, ingawa hapa siwezi kulaumu kwa kuwa hata kabla sijafanya oral interview waliniweka wazi kuwa nafasi tunazogombani tayari zina watu ila wana mpango wa kuongeza wafanyakazi wengine wakipata funding ( hawa niliona wababaishaji)

Pili nilifanya usaili na shirika la Save the children kwa nafasi ya Education officer - Formal, hii nayo nilikosa

Tatu nikafanya usaili na shirika la Good neighbors Tanzania kwa nafasi ya Community outreach officer na hii NATO sikufanikiwa kuipata. Alikuwa anahitajika mtu mmoja na baada ya kufanya usaili tuliambiwa na wafanyakazi wengine wa pale pale kuwa tumepoteza muda wetu maana kuna mtu tayari yuko field anaendelea na kazi hiyo. Hawa nao walikuwa wababaishaji.

Nne na ya mwisho nimefanya usaili shirikala La Plan international nafasi ya ................. Nimeweka desh desh kwa kuwa majibu bado hayajatoka. Hii nadhan ndio ya kufungia mwaka.

Mambo niliyagundua katika harakati hizi;
Mashirika mengi yanaita watu ili kukamilisha taratibu tu za uajiri lakini wanakuwa tayari wana watu.
Ingawa huenda zipo ambazo nilizikosa kwa kuzidiwa na wengine lakini bado naamini mashirika mengi yana figisu sana katika michakato ya uajiri.
Natumai kuwa mwaka ujao nitaendelea kuitwa na nitafanikiwa kupata kazi nzuri zaidi na yenye mshahara mkubwa zaidi ya hii niliyonayo kwa sasa. Mungu nisaidie.
 
Nimemaliza chuo mwaka 2016, na kwa sasa nafanya kazi na shirika Fulani hapa Tz. Ingawa nafanya kazi ila sijaridhika na mshahara ninaolipwa na ndio maana niliendelea kupambana kutafuta kazi nyingine.

Katika mwaka huu unaomalizika nilkuwa na bahati ya kuitwa kwenye usaili lakini kupata kazi hizo ndo ilikuwa tatizo. Nilifanikiwa kupata moja tu ambayo ndio nafanya kwa sasa.
Kwanza niliitwa na shirika LA Norwegian refugee council nafasi mbili tofauti lakini zote nilikosa, ingawa hapa siwezi kulaumu kwa kuwa hata kabla sijafanya oral interview waliniweka wazi kuwa nafasi tunazogombani tayari zina watu ila wana mpango wa kuongeza wafanyakazi wengine wakipata funding ( hawa niliona wababaishaji)

Pili nilifanya usaili na shirika la Save the children kwa nafasi ya Education officer - Formal, hii nayo nilikosa

Tatu nikafanya usaili na shirika la Good neighbors Tanzania kwa nafasi ya Community outreach officer na hii NATO sikufanikiwa kuipata. Alikuwa anahitajika mtu mmoja na baada ya kufanya usaili tuliambiwa na wafanyakazi wengine wa pale pale kuwa tumepoteza muda wetu maana kuna mtu tayari yuko field anaendelea na kazi hiyo. Hawa nao walikuwa wababaishaji.

Nne na ya mwisho nimefanya usaili shirikala La Plan international nafasi ya ................. Nimeweka desh desh kwa kuwa majibu bado hayajatoka. Hii nadhan ndio ya kufungia mwaka.

Mambo niliyagundua katika harakati hizi;
Mashirika mengi yanaita watu ili kukamilisha taratibu tu za uajiri lakini wanakuwa tayari wana watu.
Ingawa huenda zipo ambazo nilizikosa kwa kuzidiwa na wengine lakini bado naamini mashirika mengi yana figisu sana katika michakato ya uajiri.
Natumai kuwa mwaka ujao nitaendelea kuitwa na nitafanikiwa kupata kazi nzuri zaidi na yenye mshahara mkubwa zaidi ya hii niliyonayo kwa sasa. Mungu nisaidie.
You'll succeed only if you think positively of others
 
katika hayo mashirika una tegemea kulipwa sh ngapi...? na nini zaidi una itaji kukipata huko?

kama pesa hawalipi vizuri na una tumika haswa... ila jitaidi kupambana utazipata hizo nafasi za huko kigoma kwa wakimbizi...
 
Utapata tu kazi yenye mshahara mkubwa ila fikiria na professional development and opportunities ukiwa kazini
 
Nimemaliza chuo mwaka 2016, na kwa sasa nafanya kazi na shirika Fulani hapa Tz. Ingawa nafanya kazi ila sijaridhika na mshahara ninaolipwa na ndio maana niliendelea kupambana kutafuta kazi nyingine.

Katika mwaka huu unaomalizika nilkuwa na bahati ya kuitwa kwenye usaili lakini kupata kazi hizo ndo ilikuwa tatizo. Nilifanikiwa kupata moja tu ambayo ndio nafanya kwa sasa.
Kwanza niliitwa na shirika LA Norwegian refugee council nafasi mbili tofauti lakini zote nilikosa, ingawa hapa siwezi kulaumu kwa kuwa hata kabla sijafanya oral interview waliniweka wazi kuwa nafasi tunazogombani tayari zina watu ila wana mpango wa kuongeza wafanyakazi wengine wakipata funding ( hawa niliona wababaishaji)

Pili nilifanya usaili na shirika la Save the children kwa nafasi ya Education officer - Formal, hii nayo nilikosa

Tatu nikafanya usaili na shirika la Good neighbors Tanzania kwa nafasi ya Community outreach officer na hii NATO sikufanikiwa kuipata. Alikuwa anahitajika mtu mmoja na baada ya kufanya usaili tuliambiwa na wafanyakazi wengine wa pale pale kuwa tumepoteza muda wetu maana kuna mtu tayari yuko field anaendelea na kazi hiyo. Hawa nao walikuwa wababaishaji.

Nne na ya mwisho nimefanya usaili shirikala La Plan international nafasi ya ................. Nimeweka desh desh kwa kuwa majibu bado hayajatoka. Hii nadhan ndio ya kufungia mwaka.

Mambo niliyagundua katika harakati hizi;
Mashirika mengi yanaita watu ili kukamilisha taratibu tu za uajiri lakini wanakuwa tayari wana watu.
Ingawa huenda zipo ambazo nilizikosa kwa kuzidiwa na wengine lakini bado naamini mashirika mengi yana figisu sana katika michakato ya uajiri.
Natumai kuwa mwaka ujao nitaendelea kuitwa na nitafanikiwa kupata kazi nzuri zaidi na yenye mshahara mkubwa zaidi ya hii niliyonayo kwa sasa. Mungu nisaidie.
Uskate tamaa...pia kufanya interview nyng n advantage... Inakujenga SNA..
 
MWalimu Anza kufundisha QT huku ukijipanga kumiliki shule yako. One day yes
 
Hao Norwegian ni wazushi sana wenzao Danish walishafunga virago huko kwa wakimbizi, plan itakua umeomba kazi za wakimbizi huko kibondo...
 
Nakushauri kwa mwaka huu 2018 usifikirie tena kusaka ajira, fikiria ni namna gani...
1/Utaongeza kipato chako nje ya Ajira uliyonayo.
2/Utafikia kiwango cha kuweza kujiajiri.

Kwanini nasema hivyo? Sababu hasa ni
-Tatizo la Ajira kwa sasa ni kubwa zaidi kuliko miaka iliyopita.
-Ajira nyingi hazina uhakika wa kuendelea kukuajiri au kukulipa mshahara mkubwa unaoutegemea.
-Mwajiri yoyote yuko kukutumia tu, akikuchoka faster anakutupa.
-Usitegemee kufikia malengo yako ya kimaisha kwa kutegemea kuajiriwa.
 
Usijali mkuu, one day yes kuitwa kwenye interview zote hzo inaonyesha unasifa za kuajirika
 
Back
Top Bottom