Machi 11, 2017 Kamati Kuu ya CCM iliwafukuza wanachama kadhaa wa chama hicho na wengine kupewa onyo kwa makosa mbalimbali ya maadili kinyume na Katiba na kanuni za uongozi na maadili za CCM.
Waliofukuzwa (kuvuliwa) uanachama ni pamoja na Sophia Simba, Mwenyekiti UWT ambaye pia alikuwa ni Mbunge wa Viti Maalum na aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu. Kufuatia maamuzi hayo Sophia Simba alipoteza nafasi yake ya Ubunge wa Viti Maalum na Uenyekiti wa UWT.
Wakati Sophia Simba na wenzake wakifukuzwa Ndugai alikuwa Spika, hatukumsikia akisema CCM inanyanyasa Wanawake.
Waliofukuzwa (kuvuliwa) uanachama ni pamoja na Sophia Simba, Mwenyekiti UWT ambaye pia alikuwa ni Mbunge wa Viti Maalum na aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu. Kufuatia maamuzi hayo Sophia Simba alipoteza nafasi yake ya Ubunge wa Viti Maalum na Uenyekiti wa UWT.
Wakati Sophia Simba na wenzake wakifukuzwa Ndugai alikuwa Spika, hatukumsikia akisema CCM inanyanyasa Wanawake.