Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,503
- 217,762
uongo wa KOVA kuhusu yule MKENYA MTESAJI FEKI WA ULIMBOKA !
mkuu wewe ndo mmiliki wa jf? Sidhani kama una haki ya kumzuia mtu asichangie mada kisa wewe ndo umeanzisha.
Jf kila mtu yuko huru kusema na kutetea anacho amini kwa uwazi.
hayo siyo matusi mjomba , hiyo inaitwa lugha kali ya kufundishia mamburula wa lumumba .
Mhe.kubebwa mzobemzobe kutolewa Bungeni.Wana JF
Watanzania wengi na hasa waandishi wa habari wa Tanzania sote tunajua ni makanjanja .Ombamba na wanao weza kununuliwa na kuandika lolote ili mradi mkono uende kinywaji .Ni wepesi kusahau na hata kupingana na walicho kiandika .Mimi sitaki kuwa kama wao na wewe najua hutaki kabisa kuwa kwenye kundi hilo .Sasa basi tujikumbushe lakini pia kama kuna mwenye kujua status ya lolote hapa aseme, pia ongeza lile unalo kumbuka ni tukio la mwaka huu .
- Kapuya na tuhuma za kubaka
-Magari ya Ikulu na mafuta machafu kule Moshi
-Kesi za Mbowe
-Kesi za Lema
-Kesi za Slaa
-Kesi za wamwaga tindikali kule Zanzibar
-Mauji ya kiongozi wa Kanisa Katoliki Zanzibar
-Tindikali kwa mtoto wa Kiigereza Zanzibar
-Kujivua gamba kwa CCM
-Mangula na miezi 6
-Wassira na kifo cha Chadema
-Kesi ya Riziwani dhidi ya Slaa
-Watuhumiwa wa madawa ya kulevya
-Pembe za ndovu jijini Dar .
Naomba ongeza lakini pia kama unajua status kwa sasa tuwekane sawa .
Wewe ni mjinga tu never come here kwenye post zangu
I am serious and not wiping mavizi ya mabwana kama wewe .Endelea kupangusa na kuosha vinyesi huko huko you are a dog corpse
Wewe ni mjinga tu never come here kwenye post zangu
I am serious and not wiping mavizi ya mabwana kama wewe .Endelea kupangusa na kuosha vinyesi huko huko you are a dog corpse