Nimekutana na mdada hapa mitaa ya Stand Arusha ni hatari sana, hiyo shepu(hips, makalio, kiona chembamba) ni shida, watu wanapishana tu kugeuka kila mtu kwa muda wake, kuna wazee wamekaa dukan hapa wanapateje shida wanaangalia mpaka basi. wanabaki nanongonezana tu wanatamani wangerudia ujana ili wafaidi vizuri. wadada/wamama mwaka huu mmetulenga sana na mavazi yenu lakini tunashukuru kwa kuwa mwaka unamalizika salama, ila mwakani nahisi ndo mtatembea naked kabisa maana tunapoelekea ni noma, kila dada anataka kuonyesha what she got na kila mwanamke siku hizi ni mzuri lazima atakuteka tu, kwa silaha yake aliyojaliwa (shape, miguu, macho, nywele n.k)
vitabu vya dini vimeandika ukitamani tu umetenda dhambi sasa, kwa stahili hii kuna mtu mwaka huu hajatenda hi dhambi ya kutamani kweli. hivi vivazi haviishii hapo utakutana navyo ofisini, kwenye daladala, bank yan kila kona wadada wamelipuka ikifika usiku ndo unana kila kitu wazi wazi.. aisee ni shida
sasa sijui 2014 wataingia na makombora gani mwaka huu tumepone bahati sana....
wazo huru; no offence
vitabu vya dini vimeandika ukitamani tu umetenda dhambi sasa, kwa stahili hii kuna mtu mwaka huu hajatenda hi dhambi ya kutamani kweli. hivi vivazi haviishii hapo utakutana navyo ofisini, kwenye daladala, bank yan kila kona wadada wamelipuka ikifika usiku ndo unana kila kitu wazi wazi.. aisee ni shida
sasa sijui 2014 wataingia na makombora gani mwaka huu tumepone bahati sana....
wazo huru; no offence