Cyangungu
Member
- Nov 7, 2019
- 45
- 54
Mapema mwaka tajwa hapo juu niliambulia kiasi hicho cha pesa kutoka kwa gwiji RA kwa ajili ya soda na biscuits.
Muda huu nafsi imenisuta pengine nilikula ya kagoda au ya Richmond.
Kwa mantiki hiyo nakuja kwenu wa Tanzania kuwaombeni msamaha na nipo tayari kuirejesha.
Ee mwenyezi Mungu nisamehe
Muda huu nafsi imenisuta pengine nilikula ya kagoda au ya Richmond.
Kwa mantiki hiyo nakuja kwenu wa Tanzania kuwaombeni msamaha na nipo tayari kuirejesha.
Ee mwenyezi Mungu nisamehe