Mimi mwenyewe ninaisubiri harmony OS, halafu chief kipindi hicho tulikuwa bado kwenye edge, hakukuwa na 3g wala 4g.
Naisubiri harmony OS maana kweli apps siku hizi ni kubwa sana ila chief si ukubwa wa app si unaendana na features, na graphic interfaces ilizonazo?
2021 tutaona simu ya kwanza ya harmonyOS kutoka kwa huawei. Sijui sie watumiaji wa huawei kama tutaweza ku upgrade kutoka android kwenda huko.