Mwajiri wa Regional Air akimbia wafanyakazi

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,582
6,627
Mgogoro wa mikataba kati ya Uongozi wa Regional Air na Staff wasababisha General Manager kukimbia wafanyakazi kwa kufunga ofisi.

Wafanyakazi walikuwa na mikataba ya kudumu kuanzia 1997, lakini mwajiri pasipo kufuata sheria za kazi za nchi, ameamua kutoa mikataba ya muda mfupi na kulazimisha wafanyakazi wasign pasipo kusitisha mikataba ya awali.

Wafanyakazi wanahaha na kuomba msaada wa kisheria ili walipwe haki zao.

Pia wanasikitika sana, swala hili litaharibu taswira ya utalii hasa katika kipindi hiki kigumu katika maswala ya uchumi.

Mamlaka husika kama TCAA Inatakiwa kuingilia kati swala hili kwa sababu sheria tayari zimevunjwa. Idadi ya wafanyakazi ambao wanatakiwa ili ku meet requirements za authority hazijatimia.
 
Si hii ni sister company ya Air Kenya.......?.........
Wanakwepa nini.......?.......lawyers msaada wenu hapa..........
 
Saaingine Hawa waajiri cjui wanatuonaje Yaan wanakurupuka tu hata hawajali maisha ya wafanyakazi wao,hapa ndiko wafanyakazi wanapotakiwa kushikamana na kuwa kitu kimoja kushinikiza mamlaka husika kuchukua hatua.

Polen sn wakuu.
 
Si hii ni sister company ya Air Kenya.......?.........
Wanakwepa nini.......?.......lawyers msaada wenu hapa..........

Waende na na hiyo mikataba yote miwili kwenye baraza la usulihishi la wafanyakazi -CMA wakalalamike huko ndio watapata suluhisho. Huku tutabuni tu.
 
Waende na na hiyo mikataba yote miwili kwenye baraza la usulihishi la wafanyakazi -CMA wakalalamike huko ndio watapata suluhisho. Huku tutabuni tu.

Hao CMA wapo humu pia........walete muongozo..........
 
Saaingine Hawa waajiri cjui wanatuonaje Yaan wanakurupuka tu hata hawajali maisha ya wafanyakazi wao,hapa ndiko wafanyakazi wanapotakiwa kushikamana na kuwa kitu kimoja kushinikiza mamlaka husika kuchukua hatua.

Polen sn wakuu.

Naamini wafanyakazi wapo kibao humu JF........
Nyie wafanyakazi.......mwenzenu akinyolewa........
 
Si hii ni sister company ya Air Kenya.......?.........
Wanakwepa nini.......?.......lawyers msaada wenu hapa..........
Ndio hao hao,
Air Kenya ilikuwa ina Operate Zanzibar,lakini haikufika miaka miwili Biashara ikawashinda wakakimbia.
Na walichokuwa wakifanya wao ni kwamba wanatafuta Office kama wakala wao,so wao hawalipi Pango,na pia GSA staff wake ndio watakaosimamia operation yoote ya ndege.Yaani ni jamaa wa short cut sana.
 
Huyo mwajiri atafutwe popote alipo awajibishwe kwa uvunjifu wa sheria...hivi anajua anaongoza watu wenye taaluma zao lakini! Ama anadhani anaongoza ng'ombe kwamba anytime akikurupuka anaeza badili upepo vile anavyojiskia
 
Waende na na hiyo mikataba yote miwili kwenye baraza la usulihishi la wafanyakazi -CMA wakalalamike huko ndio watapata suluhisho. Huku tutabuni tu.


Ushauri mzuri Sana! Nawashauri hao wanasheria wa hao wafanyakazi waanze safari ya kwenda idara ya kazi!
 
Humu tuna kila aina ya mtu...........hao wanasheria tulionao humu jamani msaada wenu pls!
 
Hao CMA wapo humu pia........walete muongozo..........

Shida yote ni Hamza Bakari Mwapachu..huyu dogo kampuni imemlea, ikamfundisha kuwa rubani na ikampa majukumu ambayo hayawezi. Dogo anatumiwa na Dino kama chambo na yeye anakurupuka bila kujitambua anafukuza watanzania wenzake. Philip pia anamdanganya sana. In short ni Hamza Mwenyewe ndio hawataki staff wala sio Airkenya. Alishindwa kuishi na mke wake Rachel akaoa mkenya aliyekuwa airkenya sasa anataka kuwafanya wafanyakazi kama mke.
 
Shida yote ni Hamza Bakari Mwapachu..huyu dogo kampuni imemlea, ikamfundisha kuwa rubani na ikampa majukumu ambayo hayawezi. Dogo anatumiwa na Dino kama chambo na yeye anakurupuka bila kujitambua anafukuza watanzania wenzake. Philip pia anamdanganya sana. In short ni Hamza Mwenyewe ndio hawataki staff wala sio Airkenya. Alishindwa kuishi na mke wake Rachel akaoa mkenya aliyekuwa airkenya sasa anataka kuwafanya wafanyakazi kama mke.

Anzeni naye huyo huyo Hamza B. Mwapachu.
 
Kweli hapa vyombo husika vya sheria viingilie kati swala hili kwa sababu wafanyakazi nilioongea nao wanasema huyo Hamza Bakari Mwapachu ana kiburi na dharau mno. .Walisikia akiwaambia waandishi wa habari, kwamba wanajua yeye ni nani?
inaonekana anatumia nguvu ya password ya juu pasipo kujua Uonevu una mwisho.
Hamza amekuwa akiwaambia Staff kampuni ikifungwa yeye ataenda popote kuwa rubani ila wengine nani atawaajiri?

Wanasema bora mara mia uongozi wa wazungu waliopita kuliko huyu Mtanzania asiyefuata sheria za Nchi. .
 
Huyo mwajiri atafutwe popote alipo awajibishwe kwa uvunjifu wa sheria...hivi anajua anaongoza watu wenye taaluma zao lakini! Ama anadhani anaongoza ng'ombe kwamba anytime akikurupuka anaeza badili upepo vile anavyojiskia

Ungewaona Staff leo ungewaonea huruma. Watanzania wananyanyaswa Nchini kwao na Mtanzania mwenzao....

Tatizo ni hao directors kutoa uongozi wa juu kwa huyo boss wa Regional. .IInaonekana jamaa hana pia washauri wazuri wa maswala ya kisheria. ...

kwa mwendo huu, hatutashangaa kusikia kampuni ikifimefilisika na wakenya wametoroka bila kuwalipa wafanyakazi haki zao
 
Ungewaona Staff leo ungewaonea huruma. Watanzania wananyanyaswa Nchini kwao na Mtanzania mwenzao....

Tatizo ni hao directors kutoa uongozi wa juu kwa huyo boss wa Regional. .IInaonekana jamaa hana pia washauri wazuri wa maswala ya kisheria. ...

kwa mwendo huu, hatutashangaa kusikia kampuni ikifimefilisika na wakenya wametoroka bila kuwalipa wafanyakazi haki zao

Kuna mambo yanatia hasira kiasi kwamba unatamani umtafune mtu ubongo mzima mzima kama ulivyo. Wanasheria na taasis za haki za wafanyakazi msaada wenu tafadhalini kwa hawa watanzania wenzetu
 
Uongozi nao ni kipaji si mijitu mingine kisa ni pilot tu anapewa ubosi,Kijana kama Hamza a.k.a Mwapachu tena analiharibu sana jina na mzazi wake wa kiume,Hamza hana hata chembe ya uwezo wa kuwa kiongozi,ile dhana ya ile tabia ambayo inapingwa kanisani na misikitini sijui ndio imepunguza uuelewa wa kuchambua mana alicho fanya hata mwalimu wa primary hawezi toa maamuzi,Mtanzania gani huna uchungu na wazawa wenzako wafikiri hao wakenya wakifunga hiyo office we utaenda wapi hata ukipata kazi sehem ingine utakuwa unaangaliwa na wafanyakazi wenzako kwa jicho baya mana we ni nuksi ila sishangai mana ukisha kuwa si riziki ndio matatizo yake hayo,jitambue,jielewe.
 
Hizi kesi ni nyingi kwa sasa waajiri wanajifanya kutafta kila namna kuongeza mapato kwa kuiba haki za watu.wafanyakazi msisite kupaza sauti,lakini mamlaka mbalimbali ni muhimu kuingilia kati suala kama hili kuwapa muongozo stahiki.Hamza Mwapachu in general si kiongozi,kiongozi bora mfano bora.Kama aliweza telekeza familia mi nashangaa hao wafanyakazi walitarajia nini haswa.nimefanya nae kazi Arusha airport kipindi flani,naskia pia familia yao wana mambo ya ki...nge. hata yeye mwenyewe ana mahusiano na wanaume wenzie akiwemo......wa precision air.
 
Kuna mambo yanatia hasira kiasi kwamba unatamani umtafune mtu ubongo mzima mzima kama ulivyo. Wanasheria na taasis za haki za wafanyakazi msaada wenu tafadhalini kwa hawa watanzania wenzetu

Kuna mtu humu ndani ni boss w hiyo kampuni ila sijamwona akicoment ki2
 
mfa maji haishi kutapatapa,ila kutapatapa huko waweza pona au kufa,ila Kampuni husika inakwenda ishilia pabaya sana latest news wamesha anza ajiri wafanya kazi wengine kama kwamba ilicho fanya Hamza a.k.a Mse....alivyo na akili za makalio hata hao anao waajiri hajui background zao kama Lightness huyu dada alikuwa anafanyaga kazi Coastal Aviation akafukuzwa kazini kwa wizi we unamwajiri mwizi,tena unamweka Operation atawaibia tu, ina mana kuwafukuza hao wafanyakazi kumbe we Hamza pia ni mwizi unataka wadhulum haki zao ila watazipata tu.I wish RASS wangekutupia jicho la pili wasinge endelea na wewe kabisa mana ndio chanzo kikuu cha matatizo yote.Wezi watupu
 
Back
Top Bottom