Ndugu wana JF Naomba kujulishwa hivi inakuaje mtu umeajiliwa katika kampuni ya mtu binafsi na wewe ukiwa ni Mwajiliwa wa kwanza katika ofisi hiyo yaani ndo umeanza nayo,sasa mwenye kampuni anafungua Kampuni nyingine na anataka wewe tena ukaanze upya katika hiyo Kampuni Mpya,ikiwa namaana ajira yako ya awali inakufa.
Je ni haki zipi za msingi unastahili kupewa katika zoezi hilo zima?Kama kuna mtu anafahamu basi naomba maoni au inavyotakiwa kuwa ili nami nimsaidie mtu mawazo.
Je ni haki zipi za msingi unastahili kupewa katika zoezi hilo zima?Kama kuna mtu anafahamu basi naomba maoni au inavyotakiwa kuwa ili nami nimsaidie mtu mawazo.