Hivi majuzi timu ya mpira wa miguu ya Simba baada ya kikao cha kamati ya nidhamu iliadhimia kumpeleka mchezaji Jonas Mkude kupima afya ya akili Mhimbili.
Swali iko wapi haki ya Siri ya afya ya mwajiriwa? Je, endapo Mkude atakataa kwenda hospital Simba watamfanya nini?
Na vipi Mkude akiamua kufungua madai dhidi ya daktari na hospital itayoendesha fidia na kudai mamilio ikiwa matokeo ya madhara ya vipimo?
Swali iko wapi haki ya Siri ya afya ya mwajiriwa? Je, endapo Mkude atakataa kwenda hospital Simba watamfanya nini?
Na vipi Mkude akiamua kufungua madai dhidi ya daktari na hospital itayoendesha fidia na kudai mamilio ikiwa matokeo ya madhara ya vipimo?