Mwai Kibaki ni Rais Kenya kwa Miaka 10 sasa; JK Kikwete Miaka 7; Kibaki kaondoa tatizo ka Usafiri

Mpaka tutakapoacha "mazoea".....
Mpaka tutakapoanza kuwa na "maono ya picha kubwa" juu ya nchi yetu.....
 
Unaangalia upande mmoja tu wa shilingi, unatuonyesha picha za barabara za Nairobi mji mkuu, lakini hauonyeshi barabara za kuunganisha mikoa kwa mikoa, na ninaweza kukuhakishia ukionyesha kwa wakenya barabara zetu za kuunga mikoa kwa mikoa wataona wivu sana nimesafiri sana Kenya na ninakwambia kwa miundo mbinu hawatufikii hata kidogo!

Hivi unafikiri kuunganisha Tz ~ km za mraba karibu 1 000 000 nzima kwa br ni kazi ndogo, Tanzania unaweza kusafiri zaidi ya km 1000 lami tupu Kenya huwezi kwa hiyo next time jaribu kuwa fair, na usiwe mbinafsi kwa kuangalia tu unapoishi,Tz ni zaidi ya Dar! Baada ya miaka michache utaweza kutoka Dar kuzungukia Mtwara mpaka Songea na kunyoosha mpaka unafika Mwanza kama unaona hilo ni bure basi kuna tatizo!

Wewe Jifariji bure Hakuna Lolote!!
 
Ili Ujue Bongo ni Magumashi!! Angalia Mkandarasi anayetengeneza Taa za barabarani kuanzia Morocco Makutano hadi Sallender Bridge!! Duh!! Hadi aibu!! Nguzo zote ni used Materials!! Chuma chakavu!! Nguzo zimekaa kulia kushoto!! Jamani msimamizi wa huu Ujenzi sijui ni nani? TANROADS MPO? NAONA OFISI YAO IPO MWANZO WA MRADI (Airtel Building)!! MAGUFULI NDUGU YANGU UPO? MFUGALE NAE!! WATU WANACHAKACHUA MBELE YA LANGO LA JIJI!!
 
Kuongoza ni uwezo ndugu fuatilia Elimu ya Kibaki akiwa Makerere na London School of Ecomics kisha compare na viongozi wenu. Acha Ushabiki kuwa mkweli uongozi ni uwezo. Kama unaweza unaweza na huwezi huwezi. Hao wako mbali.
 
Ukweli husemwa:


Hakuna kitu kinachonihudhunisha kwa Watanzania kuwa na hizi fikra kuwa Kenya is better than Tanzania.

Wakati mwingine ni vigumu kujua uzuri wa nguo uliyoivaa mwenyewe hata ukijiangalia kwa kutumia kioo.

Kama unataka kulinganisha uongozi na mafanikio kati ya Raisi mwai Kibaki na Raisi Jakaya Kikwete jaribu kuwa na fikra pana ili ulinganishaji wako uonekane kidogo sahihi kwenye macho ya watu wenye fikra pana. otherwise, you'll look like having biased and corrupted mind.

Umeona tumesema Kenya is better? is just legacy... hiyo barabara inakwenda hadi Ethiopia...

Ni country wide 2 line expressway... sisi bado tunajenga one line ... tunagongana usiku Mchana
 
This will never happen under Magamba Government, na 10% wamuachie nani? Tukitaka kuzidi kuipoteza hii nchi basi Magamba waendelee kutawala na nchi ndio itakuwa maskini kuliko Somalia.

Pesa alizozitumia Vasco Da Gama pori a.k.a The Explorer kusafiri kama tunge ziwekeza kwenye miradi ya Barabara, Maji na Nishati ya Umeme nchi ingekuwa mbali.

We still have 3yrs more of wasting our resource under CCM.
 
Z


Ina maana bandugu hamtaki kuwapa hongera hawa jamaa? sisi pia tutafika ila wametuzidi jamani
 
akili yetu kwa sasa inafikiria kujenga vyoo mashuleni kwa mujibu wa hotuba ya waziri wa elimu jana.....
mauwa yatokayo arusha yanaenda nairobi paamoja na tanzanite vitunguu nguzo za umeme halafu zinazunguka kupitia kwenye maji tunaambiwa zimetoka south hii ni kwa mujibu wa waziri wa nishati


sie tunakila kitu kiasilia au netural resources kuliko kenya kwa maana hio kufanini sisi na kenya ni ujuha tulitakiwa tuwe mbali sana
kenya wana ndege kibao na treni za town trip.

sisi ni soko la bidhaa za kenya kama kuna anebisha aseme....kunzia chumvi mpaka juice nk
 
Mkuu ukisema hizo barabara nzuri ni za nairobi tuu unakosea kwa kulinganisha barabara za kuunganisha mikoa na hizi za kwetu. Tofauti iliyopo ni kwamba barabara nyingi za kuunganisha mikoa huko kenya ni za siku nyingi sana na inakuwa unfair kufanya comparison na barabara zetu mpya ambazo hata nyingi hazijamaliza miaka mitano. Ukweli tutoe credit panapofaa, hatua waliyofikia ni nzuri na kama ulivyosema umetembea sana huko utajua na utaona kwamba barabara unazosema zimejichokea sasa hivi aidha zipo zinafanyiwa ukarabati na nyingine zinajengwa upya na kwa speed hiyo bado tutakuwa nyuma yao hasa ukizingatia Dar bado wapo kwenye mchakato, wapo mbioni, wanafanya utaratibu wa kupata mkandarasi etc, etc, etc kwa ajili ya kufanya copy paste ya walichofanya Nairobi. Nadhani hapa issue sio kilometa za barabara kuwa nyingi pia tuangalie rasilimali zetu ambazo zinatosheleza kabisa kuweka lami hata barabara ya Bunda - Mugumu nasi tuwe tunasafiri kwa raha kiasi..

Nadhani amesahau kuwa juzi juzi tu hapa tulikuwa tunaenda Mwanza kupitia Kenya, and all the way from Namanga to Isebania ni lami!!
 
Unaangalia upande mmoja tu wa shilingi, unatuonyesha picha za barabara za Nairobi mji mkuu, lakini hauonyeshi barabara za kuunganisha mikoa kwa mikoa, na ninaweza kukuhakishia ukionyesha kwa wakenya barabara zetu za kuunga mikoa kwa mikoa wataona wivu sana nimesafiri sana Kenya na ninakwambia kwa miundo mbinu hawatufikii hata kidogo!

Hivi unafikiri kuunganisha Tz ~ km za mraba karibu 1 000 000 nzima kwa br ni kazi ndogo, Tanzania unaweza kusafiri zaidi ya km 1000 lami tupu Kenya huwezi kwa hiyo next time jaribu kuwa fair, na usiwe mbinafsi kwa kuangalia tu unapoishi,Tz ni zaidi ya Dar! Baada ya miaka michache utaweza kutoka Dar kuzungukia Mtwara mpaka Songea na kunyoosha mpaka unafika Mwanza kama unaona hilo ni bure basi kuna tatizo!

Dar es Salaam being the biggest commercial city in the country and for the fact that larger percentage of revenue is generated there, we need an efficient way of moving mass to and from their jobs, so as to make them be more productive and so more revenues to the government! Hako ka DART tu kametutoa jasho miaka 20, as a results tunafikiria leo kujenga fly overs bila synchronization of our roads and or any other public transport!!!

Connecting the country YES, but with consideration of metropolitan modern and efficient growth! Dar uliletwa mkutano wa wakuu wa nchi; the whole city was dead!!! Ngoja tuone ndoto za Mwakyembe na treni Dar!!! Kwangu naona ndoto hela hana sijui ataleta maajabu gani!!!

Big up Prezidaa Mwai, you deserve to think of something 2024!!!
 
Ukweli husemwa:

Umeona tumesema Kenya is better? is just legacy... hiyo barabara inakwenda hadi Ethiopia...

Ni country wide 2 line expressway... sisi bado tunajenga one line ... tunagongana usiku Mchana

Which Legacy?, By singled one among so many priorities. Remember, Every countries have different priorities (social and economic)
 
Tena bahati yetu hawa jamaa (Kenya) hawana hata Mgodi mmoja wa Dhahabu au Alimasi, vinginevyo ingekuwa balaa!!
Hako ka Mbuga kamoja (Tsavo) tu walikonako tofauti yao na yetu ni balaaa!!!
Hongera kwa Serikali ya awamu ya 4, kuiingiza Tanzania Kwenye "Guiness Book of Records" nchi yetu kwa Mwanafunzi kufaulu STD 7 kwenda FORM 1 wakati hajui KUSOMA wala KUANDIKA...

JK, wewe ni KIBOKO!!!
 
Unaangalia upande mmoja tu wa shilingi, unatuonyesha picha za barabara za Nairobi mji mkuu, lakini hauonyeshi barabara za kuunganisha mikoa kwa mikoa, na ninaweza kukuhakishia ukionyesha kwa wakenya barabara zetu za kuunga mikoa kwa mikoa wataona wivu sana nimesafiri sana Kenya na ninakwambia kwa miundo mbinu hawatufikii hata kidogo!

Hivi unafikiri kuunganisha Tz ~ km za mraba karibu 1 000 000 nzima kwa br ni kazi ndogo, Tanzania unaweza kusafiri zaidi ya km 1000 lami tupu Kenya huwezi kwa hiyo next time jaribu kuwa fair, na usiwe mbinafsi kwa kuangalia tu unapoishi,Tz ni zaidi ya Dar! Baada ya miaka michache utaweza kutoka Dar kuzungukia Mtwara mpaka Songea na kunyoosha mpaka unafika Mwanza kama unaona hilo ni bure basi kuna tatizo!

Barabara zipi za mikoa wewe?.. hizo ambazo zimeanza ku crack hata kabla hazijakabidhiwa (Minjingu - Kondoa)?
 
Ukweli husemwa:



Which Legacy?, By singled one among so many priorities. Remember, Every countries have different priorities (social and economic)


Hamtaki kuona Legacy ya Rais wetu au ni huo U-Vasco Da Gama; Kadunda Ghana anapeleka Wataalamu wa Kilimo na

Wakulima kujifunza; aaah Amesahau kuna CHUO KIKUU CHA KILIMO kina KITIVO CHA MAZAO NYETI kwanini asinge

wapa hao pesa waendeleze hicho kitivo? Ni bora na Research zao ni BORA - HAPO angeacha LEGACY...
 
mkuu hapo umenena sanaa na si hayo tuu hata kwa taswira ya miundo mbinu hawa jamaa wamewahi kufirikia opition sahihi ya kuondoa adha ya usafiri katika jiji lao.huku sisi pamoja na kuwa na barara nyingi za connection katika mikoa bdo ipo katika hali mbaya na hali ya uchakavi nimeitembelea sana Tanzania barabara nzuri nw na ya muda mrefu imebaki ya chalinze to segera zingine zote ni mpya hazina hata miaka 5 hata 10.na tukirudi road za jijini ndo kabisaa hazifai kwasasa ndo wameanza kuitindua morogoro road je ni baada ya kuona wenzetu jirani wamefanya nini au ilikuwa mipango ya muda mrefu au mfupi?
 
Mnakumbuka shule zote za sekondari kuunganishwa kwa njia ya mtandao nchi nzima? na akatoa mfano mwl wa biology atafundisha wanafunzi wa Iringa sec yeye akiwa dar? kwa kweli ni kichekesho kwa rais kusema hayo wakati hata umeme bado tatizo shule za sekondari.NAPE EBU MKUMBUSHE BOSI KUHUSU AHADI
 
Nchi hii inahitaji maombi. Kila sekta imetushinda labda ya Bongo Fleva ndiyo tumetamalaki.
 
Mnakumbuka shule zote za sekondari kuunganishwa kwa njia ya mtandao nchi nzima? na akatoa mfano mwl wa biology atafundisha wanafunzi wa Iringa sec yeye akiwa dar? kwa kweli ni kichekesho kwa rais kusema hayo wakati hata umeme bado tatizo shule za sekondari.NAPE EBU MKUMBUSHE BOSI KUHUSU AHADI
 
Back
Top Bottom