Mwafrika wa Kike umeniudhi sana na wenzako!!!

Status
Not open for further replies.

Kitila Mkumbo

JF-Expert Member
Feb 25, 2006
3,354
1,943


Of course hii inaweza ikatolewa hapa baada ya muda na kuwekwa panapofaa-sijui ni wapi??!!

Lakini ukweli ni kwamba Mwafrika wa Kike ameniudhi sana kwa sababu haiwezekani yeye apotee kipindi hiki ambacho ni critical na taifa letu linapita katika majaribu mazito likwemo la uchawi huko bungeni. Kama bado anatafuta habari za Balali, namwomba aachane nazo kwa sababu hizo habari sasa hivi sio deal tena. Kama kawaida yetu watanzania hilo tumeshalisahau, na sasa tuna-deal na issue ya uchawi kule bungeni Dodoma.

Kwa hiyo dadangu rudi tafadhali tuje tushirikiane katika hili la uchawi, na ukichelewa utakuta hili nalo limeshaisha na tutakuwa tumeanza na lingine. Matokeo ya kupotea kwako ndiyo haya unaona vijana ambao ndio wanaanza ukada wa CCM, hawasikii chochote, wao wanasifia kila kitu hata uchawi. Hapa namuongelea huyu kijana wetu Mashaka ambaye amekuja kwa moto wa kifuu na kumshinda kwa mbali kabisa kada mpinzani kwa kutetea yasiyoteteeka na kuhalalisha yasiyohalalishika. Kama hutarudi hivi karibuni huyu kijana ataendelea kusumbua wengi; nimeona wazee wameshaanza kumrushia mawea makali lakini sidhani kama wataweza kumuweka sawa kabla hujarudi.


Ok, sasa na hawa wameenda wapi? Kwa nini wameogopa kushiriki kwenye hili la kujadili uchawi kule bungeni? hapa nawaongelea ndugu zetu: Game Theory, Madela-wa Madilu na Kichuguu (huyu kapotea siku nyini sijui nini kimemsibu).

Mbaya zaidi Brazameni ndiyo kabisa kajificha wakati anajua kabisa kipindi kama hiki ndio kwanza tunahitaji sana commercial breaks zake na zile picha motomoto.

Na katika hizi siku mbili Nyani Ngabu kauchuna kabisa na hataki kutia neno kwenye hili sakata, au ndio umeshahitimisha kwamba ndivyo tulivyo.

Hebu acheni hizo, rudini hapa- haya mambo ndiyo kwanza yanaanza.

If this didn't make you smile, sorry but I am not to be blamed, I had forgotten that the weekend has actually just gone and we are at the beginning of the new week!
 
Kama nimeelewa unachomaanisha ni kwamba mwanamke wa kiafrika ni upinzani version of masaka.
Haya mwafrika wa kike njoo uplay role yako, apparently wewe ndio unayetegemewa katika issue za kusutana.
 
Kama nimeelewa unachomaanisha ni kwamba mwanamke wa kiafrika ni upinzani version of masaka.
Haya mwafrika wa kike njoo uplay role yako, apparently wewe ndio unayetegemewa katika issue za kusutana.

Kumfananisha Mwafrika Wa Kike na Masaka ni a gross injustice to fairness, let alone thought out debate.Hata katika boxing watu hupambanishwa kwa uzito.

I protest on the basis of the iniquity of the inequitable equation.
 
MWK amekimbia moto wa Masaka... naona kama anajipanga upya kwani mbinu zake za mipasho zilikuwa zinahitaji kunolewa..
 
MWK amekimbia moto wa Masaka... naona kama anajipanga upya kwani mbinu zake za mipasho zilikuwa zinahitaji kunolewa..

Masaka si chochote, labda na yeye ni fisadi au amenufaika/ananufaika na ufisadi ndiyo maana siku zote haoni ushahidi chungu nzima unaonyesha ufisadi uliokithiriri ndani ya chama na siri kali, hivyo kutetea mafisadi kwa nguvu zake zote. Tutakula naye sahani moja maana utetezi wake huwa ni maneno tu usiokuwa na supporting evidence yoyote ya kile anachokitetea.
 


Of course hii inaweza ikatolewa hapa baada ya muda na kuwekwa panapofaa-sijui ni wapi??!!

Lakini ukweli ni kwamba Mwafrika wa Kike ameniudhi sana kwa sababu haiwezekani yeye apotee kipindi hiki ambacho ni critical na taifa letu linapita katika majaribu mazito likwemo la uchawi huko bungeni. Kama bado anatafuta habari za Balali, namwomba aachane nazo kwa sababu hizo habari sasa hivi sio deal tena. Kama kawaida yetu watanzania hilo tumeshalisahau, na sasa tuna-deal na issue ya uchawi kule bungeni Dodoma.

Kwa hiyo dadangu rudi tafadhali tuje tushirikiane katika hili la uchawi, na ukichelewa utakuta hili nalo limeshaisha na tutakuwa tumeanza na lingine. Matokeo ya kupotea kwako ndiyo haya unaona vijana ambao ndio wanaanza ukada wa CCM, hawasikii chochote, wao wanasifia kila kitu hata uchawi. Hapa namuongelea huyu kijana wetu Mashaka ambaye amekuja kwa moto wa kifuu na kumshinda kwa mbali kabisa kada mpinzani kwa kutetea yasiyoteteeka na kuhalalisha yasiyohalalishika. Kama hutarudi hivi karibuni huyu kijana ataendelea kusumbua wengi; nimeona wazee wameshaanza kumrushia mawea makali lakini sidhani kama wataweza kumuweka sawa kabla hujarudi.


Ok, sasa na hawa wameenda wapi? Kwa nini wameogopa kushiriki kwenye hili la kujadili uchawi kule bungeni? hapa nawaongelea ndugu zetu: Game Theory, Madela-wa Madilu na Kichuguu (huyu kapotea siku nyini sijui nini kimemsibu).

Mbaya zaidi Brazameni ndiyo kabisa kajificha wakati anajua kabisa kipindi kama hiki ndio kwanza tunahitaji sana commercial breaks zake na zile picha motomoto.

Na katika hizi siku mbili Nyani Ngabu kauchuna kabisa na hataki kutia neno kwenye hili sakata, au ndio umeshahitimisha kwamba ndivyo tulivyo.

Hebu acheni hizo, rudini hapa- haya mambo ndiyo kwanza yanaanza.

If this didn't make you smile, sorry but I am not to be blamed, I had forgotten that the weekend has actually just gone and we are at the beginning of the new week!

Huyu MWK mara ya mwisho alianzisha thread hapa ya kumtaka mheshimiwa raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama wa Tanzania ajiuzuru. Yaani kati ya yote mtu anaweza kudai hapa JF ni kutaka Kikwete ajiuzuru? Alikutana na nguvu kubwa ya wana ccm hapa na akakimbia moto. Amegundua kuwa hiki si kijiwe cha kuanzisha fujo na kusumbua watawala wa nchi hii. Kwanza huu ni uhaini na inabidi achukuliwe hatua za sheria.

Ameanza yeye na wengine wengi tu watafuata. Huwezi kucheza na chama kubwa la kijani. Kidumu chama cha mapinduzi.
 
Kumfananisha Mwafrika Wa Kike na Masaka ni a gross injustice to fairness, let alone thought out debate.Hata katika boxing watu hupambanishwa kwa uzito.

I protest on the basis of the iniquity of the inequitable equation.

mkuu navutiwa sana na ngeli yako... safi sana
ila naona kumwita nyani ngabu hapa mnajua madhara yake??? naambiwa ana posts 4000 lakini nusu ya robo ndizo points...
 
Kama nimeelewa unachomaanisha ni kwamba mwanamke wa kiafrika ni upinzani version of masaka.
Haya mwafrika wa kike njoo uplay role yako, apparently wewe ndio unayetegemewa katika issue za kusutana.

kamanda mbona tena unanisaliti mwana ccm mwenzio mbele ya kadamnasi namna hii? Hii sio fair mwenzangu kufanya hivi.
 
Huyu MWK mara ya mwisho alianzisha thread hapa ya kumtaka mheshimiwa raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama wa Tanzania ajiuzuru. Yaani kati ya yote mtu anaweza kudai hapa JF ni kutaka Kikwete ajiuzuru? Alikutana na nguvu kubwa ya wana ccm hapa na akakimbia moto. Amegundua kuwa hiki si kijiwe cha kuanzisha fujo na kusumbua watawala wa nchi hii. Kwanza huu ni uhaini na inabidi achukuliwe hatua za sheria.

Ameanza yeye na wengine wengi tu watafuata. Huwezi kucheza na chama kubwa la kijani. Kidumu chama cha mapinduzi.

Unafikiria kwa kutumia akili za wapi?

Asha
 
Huyu MWK mara ya mwisho alianzisha thread hapa ya kumtaka mheshimiwa raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama wa Tanzania ajiuzuru. Yaani kati ya yote mtu anaweza kudai hapa JF ni kutaka Kikwete ajiuzuru? Alikutana na nguvu kubwa ya wana ccm hapa na akakimbia moto. Amegundua kuwa hiki si kijiwe cha kuanzisha fujo na kusumbua watawala wa nchi hii. Kwanza huu ni uhaini na inabidi achukuliwe hatua za sheria.

Ameanza yeye na wengine wengi tu watafuata. Huwezi kucheza na chama kubwa la Manyani. Kidumu chama cha mapinduzi.

Unajua shetani pia ana watetetezi wake ambao ni binadamu hawa hawa....
 
Kumfananisha Mwafrika Wa Kike na Masaka ni a gross injustice to fairness, let alone thought out debate.Hata katika boxing watu hupambanishwa kwa uzito.

I protest on the basis of the iniquity of the inequitable equation.
Katika watu wanaongea kiingereza kigumu kama cha Mkapa basi ni wewe mkuu.Post zako huwa nakaa na Dikishonare
 
Kumfananisha Mwafrika Wa Kike na Masaka ni a gross injustice to fairness, let alone thought out debate.Hata katika boxing watu hupambanishwa kwa uzito.

I protest on the basis of the iniquity of the inequitable equation.


Pundit, whether you meant inequity or iniquity, you punned it good, son!
Heavyweight (MWK) na Featherweight (Masaka) wapi na wapi!
 
Katika watu wanaongea kiingereza kigumu kama cha Mkapa basi ni wewe mkuu.Post zako huwa nakaa na Dikishonare

Huh!?!?! Mkapa anaongea kizungu kigumu? Jiongelee mwenyewe bana....sio wote wanaona kizungu chake ni kigumu.
 
Huwezi kucheza na chama kubwa la kijani. Kidumu chama cha mapinduzi.

Yeah! Kigumu chama cha mafisadi na viongozi wao wazee wa vijisenti, vihirizi na ndumba na ngaye. Chama kilichojaa wahuni na corrupt people.
 
Huyu MWK mara ya mwisho alianzisha thread hapa ya kumtaka mheshimiwa raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama wa Tanzania ajiuzuru. Yaani kati ya yote mtu anaweza kudai hapa JF ni kutaka Kikwete ajiuzuru? Alikutana na nguvu kubwa ya wana ccm hapa na akakimbia moto. Amegundua kuwa hiki si kijiwe cha kuanzisha fujo na kusumbua watawala wa nchi hii. Kwanza huu ni uhaini na inabidi achukuliwe hatua za sheria.

Ameanza yeye na wengine wengi tu watafuata. Huwezi kucheza na chama kubwa la kijani. Kidumu chama cha mapinduzi.


Nani alikutonya?

.
 


Of course hii inaweza ikatolewa hapa baada ya muda na kuwekwa panapofaa-sijui ni wapi??!!

Lakini ukweli ni kwamba Mwafrika wa Kike ameniudhi sana kwa sababu haiwezekani yeye apotee kipindi hiki ambacho ni critical na taifa letu linapita katika majaribu mazito likwemo la uchawi huko bungeni. Kama bado anatafuta habari za Balali, namwomba aachane nazo kwa sababu hizo habari sasa hivi sio deal tena. Kama kawaida yetu watanzania hilo tumeshalisahau, na sasa tuna-deal na issue ya uchawi kule bungeni Dodoma.

Kwa hiyo dadangu rudi tafadhali tuje tushirikiane katika hili la uchawi, na ukichelewa utakuta hili nalo limeshaisha na tutakuwa tumeanza na lingine. Matokeo ya kupotea kwako ndiyo haya unaona vijana ambao ndio wanaanza ukada wa CCM, hawasikii chochote, wao wanasifia kila kitu hata uchawi. Hapa namuongelea huyu kijana wetu Mashaka ambaye amekuja kwa moto wa kifuu na kumshinda kwa mbali kabisa kada mpinzani kwa kutetea yasiyoteteeka na kuhalalisha yasiyohalalishika. Kama hutarudi hivi karibuni huyu kijana ataendelea kusumbua wengi; nimeona wazee wameshaanza kumrushia mawea makali lakini sidhani kama wataweza kumuweka sawa kabla hujarudi.


Ok, sasa na hawa wameenda wapi? Kwa nini wameogopa kushiriki kwenye hili la kujadili uchawi kule bungeni? hapa nawaongelea ndugu zetu: Game Theory, Madela-wa Madilu na Kichuguu (huyu kapotea siku nyini sijui nini kimemsibu).

Mbaya zaidi Brazameni ndiyo kabisa kajificha wakati anajua kabisa kipindi kama hiki ndio kwanza tunahitaji sana commercial breaks zake na zile picha motomoto.

Na katika hizi siku mbili Nyani Ngabu kauchuna kabisa na hataki kutia neno kwenye hili sakata, au ndio umeshahitimisha kwamba ndivyo tulivyo.
Hebu acheni hizo, rudini hapa- haya mambo ndiyo kwanza yanaanza.

If this didn't make you smile, sorry but I am not to be blamed, I had forgotten that the weekend has actually just gone and we are at the beginning of the new week!

Nipo kaka ila hizi siku mbili tatu maboksi yalinielemea kidogo. Sasa mzee kuhusu hilo la uchawi bungeni sina mengi ya kusema kwani nadhani hayo machache niliyonayo tayari kila mtu anayajua. Anayetaka kuendelea kubisha na abishe lakini ukweli ni ukweli tu hata mtu aukatae kwa nguvu gani utabaki kuwa ni ukweli tu!!

Halafu umemsikia Mugabe alivyoapa juzi kuhusu wapinzani Zimbabwe? Not that I relish these kind of things but they keep proving me more and more right each and every single solitary day.....so what more can I say?
 
jamani Madela wa Madilu yuko wapi?, au tangu tubadili jina kutoka jamboforums hadi jamiiforums jamaa hakustuka?, mod una info zozote kuhusu Madela?,
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom