Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,436
- 78,605
Mkuu hapa umenifanya niwaze zaidimkuu, sio kwamba sijawahi soma hizo documentaries au pdf books xplaining kuhusu civilization ila the problem inakuja how comes the most civilized iwe controlled na waliokuwa chini ??
sijui kama unanielewa hapa...
kuna kitu kinafichwa why we felt down if at all you believe kuwa we had advanced civilization
Swala la kusema sijui wakatufanya tuwe slaves and so on haileti sense hata kidogo...
Kaaa ufikilie wew umekuwa na maisha mazuri na unadai una akili nyingi then aje mwingine akiteke akili na kukugeuza kuwa mtumwa wake ,huoni kuwa yule mtu ana akili kukuzidi wewe?!!! sasa kwa ushauri tu go and dig more juu ya kwanini vitabu vingi vya civilization vinasifia sana black race kuwa tulikuwa more civilized kuliko whites then tafuta hidden and unclassified documents zinazoelezea shifting of the continents ndo utaelewa kwanini tulijikuta tupo empty headed kabisaa kwenye mambo ya civilization...na kama huafiki basi jiulize inawezekanaje the most advanced one wapindukiwe na hao wenye uelewa mdogo sasa hapo huoni kuwa kuna kitu kimefichwa..??
sijui unannielewa ....??
Tunakalia kulaumu tulikuww tuna akili and so on then what went wrong??
Kwanini mpaka leo hatujabadilka ?
There is something what made changes juu ya hii kitu and needs to be xplained more in details ..