Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Teh teh......imani hizi ni ngumu sana.....mpaka yakufike ndio utaamini vinginevyo mkuu......Hizi barua hazina tofauti na mafuriko feki ya Lowasa kwa sababu yote hutengenezwa na IT ya ufipa.
Akili ndogo Bado Hujafungua shuleHizi barua hazina tofauti na mafuriko feki ya Lowasa kwa sababu yote hutengenezwa na IT ya ufipa.
Ukiandika tena upuuzi kama huu nakublock...Hizi barua hazina tofauti na mafuriko feki ya Lowasa kwa sababu yote hutengenezwa na IT ya ufipa.
Huyu ni vuvuzela aliyesajiriwa 2016. Na alishakuwa programmed juu ya maneno ya kuongea. Lazima kila sentensi yake iwe na neno Lowasa, Mbowe, Chadema, Majizi nk. Tafuteni thread zake zoote mtaona.Hizi barua hazina tofauti na mafuriko feki ya Lowasa kwa sababu yote hutengenezwa na IT ya ufipa.
Ndo ujue Jf ina member kila kona ya nchi hiiNaona hz barua/memo zinashika kasi kweli, sasa kitu kimeandikwa Internal Memo sijui JF kinatafuta nn......
Vyuo vingi vilichipua kama uyoga kwa neema za mipesa ya Bodi enzi za Jakaya. Ila hiki kiinglish cha VC!
Huyu kichaa hana thread hata moja, yeye anachofanya ni ku-copy na ku-paste kwenye upuuzi aliouhifadhi kwenye kifaa chake anachotumia kuperuzi jf. Huyo jamaa ni laana tupu. Mpuuzeni. Profile yake inaonesha ni mtu mwenye umri mkubwa ila ni zero brain.Huyu ni vuvuzela aliyesajiriwa 2016. Na alishakuwa programmed juu ya maneno ya kuongea. Lazima kila sentensi yake iwe na neno Lowasa, Mbowe, Chadema, Majizi nk. Tafuteni thread zake zoote mtaona.
Hawa chadema watu wa ajabu sana,Huyu kichaa hana thread hata moja, yeye anachofanya ni ku-copy na ku-paste kwenye upuuzi aliouhifadhi kwenye kifaa chake anachotumia kuperuzi jf. Huyo jamaa ni laana tupu. Mpuuzeni. Profile yake inaonesha ni mtu mwenye umri mkubwa ila ni zero brain.