denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Asante Bocco.Bocco ndio viwanja vyake hivyo vibovu bovu namuamini.
Asante Bocco.Bocco ndio viwanja vyake hivyo vibovu bovu namuamini.
Sio VPLHizo pointi tisa huko kanda ya Ziwa zote tuna kazi nazo.
Hizi kadi anajitakia, kule CAF alitumikia adhabu na huku kwenye ligi ameshatumikia adhabu, lakini bado mkorofi korofi tuNtashangaa Morrison asipochukuliwa hatua kwa kitendo cha uzalilishaji kwa mshika kibendera
Vyura warudi kihanziKadiri Uzi ukiendelea kusongesha ndivyo ambavyo Vyura wanaendelea Kutoweka....
Kuna aina ya vyura Kaka....vyura was Kihanzi usifawananishe na Hawa wa utopolo ...Hawa ni vyura was Matope ya jangwani!vyura warudi kihanzi
Aombe radhi, vyura wanaopanda ndege kufugwa ulaya sio sawa na hao vyura wa matope ya jangwani.Kuna aina ya vyura Kaka....vyura was Kihanzi usifawananishe na Hawa wa utopolo ...Hawa ni vyura was Matope ya jangwani!
Usiwe na haraka, hapa ni one step at a time.Sio vpl
Simba wamecheza hovyo++++Huu uwanja Wa Kambarage ufungiwe. Hatuoni radha ya mpira