Rais wetu wa JMT ni raisi ambae amebahatika kuwa na mvuto ambao kwa hakika hatujawahi kuwa na Rais ambae anakubalika na makundi yote haswa baada kuanzishwa kwa vyama vingi hapa nchini .
Mvuto wa Rais wetu kimsingi umechangiwa na vitu vingi kama vile ;Sura yake ,rangi ,na Sauti yake isoyonesha punje ya hasira pale anapongea.
Mvuto wa mama utumike kujenga taifa letu la JMT kwa kuwa uhalisia unaonyesha kwamba watu wenye mvuto huwa wana hulka ya kusikilizwa saaana.Na kwa kusikilizwa kwao ni rahisi sana kuangamiza au kuinua jamii inayomzunguka ,mifano ipo mengi kama kule ujerumani aliwahi kutokea kiongozi mwenye mvuto na mataokea yake si tu aliingiza ujerumani kwenye matatizo bali alisababisha vitu kuu ya pili ya dunia.
Kwa muktadha huo,sio siri kuwa Watanzania wamekuwa wanafuata mkumbo saana hata pale ambapo wanapolazimishwa au kuelezwa chochote kile na wanasiasa ambayo hata kama hawana mvuto kama alionao Rais yetu mpendwa mama Samia.
Hivyo mama,tunakuomba utumia kupendwa kwako kusaidie kulelimisha Watanzania mambo ya kimsingi hata kwa family level mfano,
1.Umuhimu wa kusomesha watoto na haswa wa jinsia ya kike
2.Umuhimu kwa vijana kuwa na makundi yanayowajenga na si makundi ya walevi
3:Umuhimu wa vijana kuamini katika juhudi na maarifa then Sala
4:Umuhimu wa vijana kujenga tabia ya kuwa na savings kwa wale wenye vipato
5: Umuhimu wa kuamini kwenye sayansi na si vinginevyo.
Mama utakuwa umesaidia sana familia nyingi na jamii yote kwa ujumla kwa kuwaindoa kwenye fikra potofu kama vile kuna matunda yana wadudu hivyo hayafai kuliwa na binadamu
Mvuto wa Rais wetu kimsingi umechangiwa na vitu vingi kama vile ;Sura yake ,rangi ,na Sauti yake isoyonesha punje ya hasira pale anapongea.
Mvuto wa mama utumike kujenga taifa letu la JMT kwa kuwa uhalisia unaonyesha kwamba watu wenye mvuto huwa wana hulka ya kusikilizwa saaana.Na kwa kusikilizwa kwao ni rahisi sana kuangamiza au kuinua jamii inayomzunguka ,mifano ipo mengi kama kule ujerumani aliwahi kutokea kiongozi mwenye mvuto na mataokea yake si tu aliingiza ujerumani kwenye matatizo bali alisababisha vitu kuu ya pili ya dunia.
Kwa muktadha huo,sio siri kuwa Watanzania wamekuwa wanafuata mkumbo saana hata pale ambapo wanapolazimishwa au kuelezwa chochote kile na wanasiasa ambayo hata kama hawana mvuto kama alionao Rais yetu mpendwa mama Samia.
Hivyo mama,tunakuomba utumia kupendwa kwako kusaidie kulelimisha Watanzania mambo ya kimsingi hata kwa family level mfano,
1.Umuhimu wa kusomesha watoto na haswa wa jinsia ya kike
2.Umuhimu kwa vijana kuwa na makundi yanayowajenga na si makundi ya walevi
3:Umuhimu wa vijana kuamini katika juhudi na maarifa then Sala
4:Umuhimu wa vijana kujenga tabia ya kuwa na savings kwa wale wenye vipato
5: Umuhimu wa kuamini kwenye sayansi na si vinginevyo.
Mama utakuwa umesaidia sana familia nyingi na jamii yote kwa ujumla kwa kuwaindoa kwenye fikra potofu kama vile kuna matunda yana wadudu hivyo hayafai kuliwa na binadamu