Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,187
Naomba watu wamvuti mnipe uzoefu pakoje, je pamejengeka kama Chanika?
Je bado ni mashambani? Je kiwanja naweza kukitumiaje kibiashara kabla ya kujenga?
Ukijenga nyumba ya kupangisha inalipa Nimepata uwanja bado sijaenda kuuona.
Alienda ndugu yangu kukabidhiwa. Bado naona kama mbali ukilinganisha na Chanika.
Kiwanja nimefidiwa hivyo ni ngumu kukikataa.
Je bado ni mashambani? Je kiwanja naweza kukitumiaje kibiashara kabla ya kujenga?
Ukijenga nyumba ya kupangisha inalipa Nimepata uwanja bado sijaenda kuuona.
Alienda ndugu yangu kukabidhiwa. Bado naona kama mbali ukilinganisha na Chanika.
Kiwanja nimefidiwa hivyo ni ngumu kukikataa.