geraldkowero1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,838
- 644
JK aondoke tu hatumtaki. Katuharibia chama yeye na familia yake. Huyu naye wa nini? Atimuke tu na uislamu wake. Ukiangalia sana kwenye chaguo lake la Mama Chatanda au Ulega kuna mchepuko au uislamu tu. Chunguzeni sana mtaona.
Hata kama ulikuwa na hoja ya kutomkubali J.Kikwete ulikuwa umeeleweka na ungestahili kuishia hapo hapo.Hayo mengine ya uswahili na uislamu hauna nafasi wala hauungwi mkono na ukristo na niwaombe wote wenye kuitakia nchi mema na amani mpuuze mchango/michango yote yenye mielekeo ya hivyo.