Kilichonifanya niache kuvuta sigara ni kwamba nilikua nina uwezo wa kununua sigara lakini nilikua ni mtumwa wa kuomba moto kilasiku yaani kununua kiberiti kwangu ilikua ni mwiko. By the way sigara ni mbaya kwa afya yako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.