Mvuta sigara hujisikia fahari anapoishika sigara mkononi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,532
44,648
Nimewahi kuvuta sigara karibia aina zote kuanzia Ubalozi, Sportsman ile OG na ya SM, nikajaribu jaribu na CLUB na Winston na safari kiukweli hazina ladha yoyote wala hakuna kiu ya sigara wani haikuwahi kunifanya niwe addicted.

Lakini nilichogundua wavutaji wengi hawawezi kuacha kwa kuwa mara anapoishika tu sigara mkononi basi hujisikia fahari sana anajiona kama ni boss fulani au ni mtu mashuhuri mwenye kutoa maagizo.

JamiiForums-1789685191.jpg
 
Mleta uzi wewe hukuwahi kuwa mvutaji mzr na huenda huijui vzr sigara,sikushauri ujaribu tena zaidi kwa sababu kiukweli si nzuri kwa afya lakini usiombe sigara ikakuingia utajuta kuifahamu. Sigara ina addiction mbaya sana,sana Yan na itakufanya uwe mtumwa kwa sbb ya hicho "Kiu" na si kwamba wanaona ufahari kuishika mkononi.

Ukiona mtu anaona ufahari kuishika ujue huyo ndo anaingia kwenye ulimwengu huo wa uvutaji sigara.Hao unaowaona wanavuta kiukweli wanatamani sana kuiacha ila si rahisi mzee Ni kuomba Mungu pia akupe msaada kuiacha.

Sikushauri uifahamu vzr zaidi Ni mbaya. Mvuta sigara mzoefu anaweza akatembea 5km kutafuta sigara 1 avute,anaweza kununua sigara 1 kwa sh 5000 Kama hakuna upatkanaji wa sigara maeneo alipo. Usiombe kabisa aisee.
 
Hizi hapa.nieleweshe kipi sikijui Ni wazi hazina faida zinachosha tu mwiliView attachment 1640002
Wewe hukuwa mvutaji wa sigara bali mchezea moshi.

Kwa mtu yeyote yule ambaye hajawahi kuvuta sigara ASIJARIBU KABISA.

Sigara ni utumwa na addiction(arosto) yake ni kali kuliko ya pombe.

mimi mambo ninayojutia maishani mwangu ni 'kujifunza kuvuta sigara', nisipovuta kwa wakati nnateseka sana kimwili, kiakili na kifikra.
 
Mleta uzi wewe hukuwahi kuwa mvutaji mzr na huenda huijui vzr sigara,sikushauri ujaribu tena zaidi kwa sababu kiukweli si nzuri kwa afya lakini usiombe sigara ikakuingia utajuta kuifahamu. Sigara ina addiction mbaya sana,sana Yan na itakufanya uwe mtumwa kwa sbb ya hicho "Kiu" na si kwamba wanaona ufahari kuishika mkononi.

Ukiona mtu anaona ufahari kuishika ujue huyo ndo anaingia kwenye ulimwengu huo wa uvutaji sigara.Hao unaowaona wanavuta kiukweli wanatamani sana kuiacha ila si rahisi mzee Ni kuomba Mungu pia akupe msaada kuiacha.

Sikushauri uifahamu vzr zaidi Ni mbaya. Mvuta sigara mzoefu anaweza akatembea 5km kutafuta sigara 1 avute,anaweza kununua sigara 1 kwa sh 5000 Kama hakuna upatkanaji wa sigara maeneo alipo. Usiombe kabisa aisee.
Ndio maana nimemwambia hajui chochote. Watu hadi koo linaziba
 
Kuna siku nilituhumiwa kesi ikapelekea kupelekwa sero nikawekwa pale kwa muda wa siku 5 kilichonitesa siyo kulazwa pale, bali ni kukosa sigara(arosto) hata kwenye mahojiano akili ilikuwa haipo kabisa mpaka wenyewe wakajua ni kipi kinachonitesa.

Nililetewa sigara nikavuta ndo akili ikakaa sawa na ndo siku hiyo hiyo nikaachiliwa
 
Mleta uzi wewe hukuwahi kuwa mvutaji mzr na huenda huijui vzr sigara,sikushauri ujaribu tena zaidi kwa sababu kiukweli si nzuri kwa afya lakini usiombe sigara ikakuingia utajuta kuifahamu.Sigara ina addiction mbaya sana,sana Yan na itakufanya uwe mtumwa kwa sbb ya hicho "Kiu" na si kwamba wanaona ufahari kuishika mkononi.Ukiona mtu anaona ufahari kuishika ujue huyo ndo anaingia kwenye ulimwengu huo wa uvutaji sigara.Hao unaowaona wanavuta kiukweli wanatamani sana kuiacha ila si rahisi mzee Ni kuomba Mungu pia akupe msaada kuiacha.Sikushauri uifahamu vzr zaidi Ni mbaya.Mvuta sigara mzoefu anaweza akatembea 5km kutafuta sigara 1 avute,anaweza kununua sigara 1 kwa sh 5000 Kama hakuna upatkanaji wa sigara maeneo alipo...usiombe kabisa aisee.
Unamaanisha kuiacha ni km vile unamkataza mtu asiingie JF?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom