Mvulana wa miaka sita achinjwa mbele ya mamake wakienda kuhiji huko Saudi Arabia kisa ni Shia

Yaan hapa ndipo nashindwa kuwaelewa hawa waislamu. ......
Hii dini ilitakiwa kuondolewa kabisa duniani. Yaan sijui hata wanaoabudu wanaabudu nini. ...
Maana unyama tu ndio umeijaa
Kwa hiyo yule mzungu,aliyeuwa weusi kanisani,kwa risasi ni sawa,hiyo dini yake,haitakiwi iondolewe.
 
Shoga ni huyu mtume wako ndo shoga aliyekuwa alikuwa akipigwa miti hadharan na kunyonya ndimi za wanaume wenziyeView attachment 1020065

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa,na akili,na maarifa,hilo lilikuwa ni tukio la kumpa pumzi mtu aliyepoteza pumzi,ni moja ya huduma ya kwanza,kaarne nyingi zimepita na imeonekana ni njia nyepesi kumuepusha mtu na kifo,ndio mwisho ukaona neno kwenda motoni(kifo).Wawaza ushoga tu,kwenye kuokoa maisha,mawazo ya kijinga kijinga,ondoa.
 
Nashangaa sana mnaohusisha hili tukio na masuala ya dini.

Hivi ushetani wa mtu mmoja unaweza kuwafanya mka conclude na kualaumu dini kuwa ndio tatizo?

Ni ushahidi gani mlio nao zaidi ya assumptions tu na mere allegations?

Tusipende kukurupuka ku judge vitu ambavyo hatufahamu chanzo chake. Muombeeni dogo apumzike pema peponi na mama yake apate justice.

Kubandika lawama kwa dini ni kukosa uelewa kwa kiwango cha stiglers gorge.
Tuliza mshono... Mnakosa PA kutokea iyo ndo Hali halisi ya dini yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Noma sana. Sasa huyo jamaa akifa atapata wale mabikira 72 wenye macho kama vikombe?!
Kuna mzee mmoja alikamatwa akiwa amejaa mabomu anataka kujitoa mhanga, mwanajeshi aliyemkamata akamuuliza ni kwanini wewe na uzee wako unataka kujiua na kuua watu wasio na hatia?

Yule mzee akamwambia alitaka kuwahi ili akale chakula cha jioni pamoja na mtume Muhammad.

Imani kama hizi sijui watu wanazielewa vipi.
 
Hivi watoto wangapi wameukiwa Njombe na nani walioshikwa mpaka sasa? Na watoto wangapi wanaopotea kila kukicha Tanzania hii?

Hiyo habari nimeisoma, huyo aliyafanya hayo ni mwendawazimu mmoja. Lakini mbona hatugusii hata chembe ya kwetu?
 
Nashangaa sana mnaohusisha hili tukio na masuala ya dini.

Hivi ushetani wa mtu mmoja unaweza kuwafanya mka conclude na kualaumu dini kuwa ndio tatizo?

Ni ushahidi gani mlio nao zaidi ya assumptions tu na mere allegations?

Tusipende kukurupuka ku judge vitu ambavyo hatufahamu chanzo chake. Muombeeni dogo apumzike pema peponi na mama yake apate justice.

Kubandika lawama kwa dini ni kukosa uelewa kwa kiwango cha stiglers gorge.
ISIS ni akina nani kama siyo Sunni halafu wenyewe wakatili zaidi na wewe wajua. Watu wanatumia dini kuhalalisha maovu.
 
Waarabu ndio wanaoongoza kwa kupinga ushoga hadharani na ndio wanaoongoza kwa kufanya ushoga mafichonii,

Refer sehemu zinazosifika kwa ushoga halaf angalia watu waliojaa ni dini gani,
Mombasa, Zanzibar, Tanga, yaani Mikoa ya pwani pwani mingi na huko uarabuni,
Mkristo anatangaza hazarani/anataka kuhalalisha halaf anafanya kidogo, Wazee wa mnyaazi mungu anapinga hadharani halaf anafanya mafichoni tana kwa kiwangi kikubwa zaid ya mkristo halaf akitoka nje anamuua aliefanya hadharani, hivi huyu mtu kwenye kichwa chake amehifadh huu huu ubongo mweupe au udongo wa mfinyanzi?

Wote tuna makosa ila unadhani yupi ana makosa na nusuu?

Hawa jamaaa ni hopeless kbsaaaaa.

Samahanii, wenu kafiri
 
Back
Top Bottom