The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Mzuqa
Mvulana mwenye miaka sita Zakaria Al Jaber achinjwa na kuchomwa mara kadhaa mwilini mara kadhaa kwa sababu katokea madhehebu ya Shia.
Tukio hilo la aibu na kusikitisha lilitokea Medina ambapo mtoto huyo na mamake walikuwa kwenye teksi wakielekea kuhiji katika madhabahu matakatifu ya Mtume Muhammad.
Walipokaribia kwenye mgahawa ghafla dereva teksi alisimamisha gari na kumburuza dogo kwenye mgahawa. Na kuvunja chupa na kumchinja na baadaye kumchoma kwa Jazba mara kadhaa mwilini huku mamake aliyekuwa anapiga kelele pamoja na polisi aliyekuwa karibu wakijaribu kumzuia.
Serikali inajaribu kudanganya eti jamaa alikuwa chizi ila jamii ya madhehebu ya Shia Saudi Arabia na duniani kwa jumla imekuja juu na kupinga vikali.
Mama wa mtoto anasema Alikuwa akiulizwa mara kwa mara yeye nikutoka madhehebu gani?
Picha ya huyo dogo hapo chini na linki ya habari
Saudi Arabia boy, six, 'beheaded' by taxi driver as screaming mother fought to save him | Daily Mail Online
Mvulana mwenye miaka sita Zakaria Al Jaber achinjwa na kuchomwa mara kadhaa mwilini mara kadhaa kwa sababu katokea madhehebu ya Shia.
Tukio hilo la aibu na kusikitisha lilitokea Medina ambapo mtoto huyo na mamake walikuwa kwenye teksi wakielekea kuhiji katika madhabahu matakatifu ya Mtume Muhammad.
Walipokaribia kwenye mgahawa ghafla dereva teksi alisimamisha gari na kumburuza dogo kwenye mgahawa. Na kuvunja chupa na kumchinja na baadaye kumchoma kwa Jazba mara kadhaa mwilini huku mamake aliyekuwa anapiga kelele pamoja na polisi aliyekuwa karibu wakijaribu kumzuia.
Serikali inajaribu kudanganya eti jamaa alikuwa chizi ila jamii ya madhehebu ya Shia Saudi Arabia na duniani kwa jumla imekuja juu na kupinga vikali.
Mama wa mtoto anasema Alikuwa akiulizwa mara kwa mara yeye nikutoka madhehebu gani?
Picha ya huyo dogo hapo chini na linki ya habari
Saudi Arabia boy, six, 'beheaded' by taxi driver as screaming mother fought to save him | Daily Mail Online