Mvulana wa miaka sita achinjwa mbele ya mamake wakienda kuhiji huko Saudi Arabia kisa ni Shia

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Jul 5, 2018
6,191
13,614
Mzuqa

Mvulana mwenye miaka sita Zakaria Al Jaber achinjwa na kuchomwa mara kadhaa mwilini mara kadhaa kwa sababu katokea madhehebu ya Shia.

Tukio hilo la aibu na kusikitisha lilitokea Medina ambapo mtoto huyo na mamake walikuwa kwenye teksi wakielekea kuhiji katika madhabahu matakatifu ya Mtume Muhammad.

Walipokaribia kwenye mgahawa ghafla dereva teksi alisimamisha gari na kumburuza dogo kwenye mgahawa. Na kuvunja chupa na kumchinja na baadaye kumchoma kwa Jazba mara kadhaa mwilini huku mamake aliyekuwa anapiga kelele pamoja na polisi aliyekuwa karibu wakijaribu kumzuia.

Serikali inajaribu kudanganya eti jamaa alikuwa chizi ila jamii ya madhehebu ya Shia Saudi Arabia na duniani kwa jumla imekuja juu na kupinga vikali.

Mama wa mtoto anasema Alikuwa akiulizwa mara kwa mara yeye nikutoka madhehebu gani?

Picha ya huyo dogo hapo chini na linki ya habari

Saudi Arabia boy, six, 'beheaded' by taxi driver as screaming mother fought to save him | Daily Mail Online

9619550-6687765-image-m-5_1549790859259.jpg
9619552-6687765-image-m-3_1549790816330.jpg
 
Nashangaa sana mnaohusisha hili tukio na masuala ya dini.

Hivi ushetani wa mtu mmoja unaweza kuwafanya mka conclude na kualaumu dini kuwa ndio tatizo?

Ni ushahidi gani mlio nao zaidi ya assumptions tu na mere allegations?

Tusipende kukurupuka ku judge vitu ambavyo hatufahamu chanzo chake. Muombeeni dogo apumzike pema peponi na mama yake apate justice.

Kubandika lawama kwa dini ni kukosa uelewa kwa kiwango cha stiglers gorge.
 
Mzuqa

Mvulana mwenye miaka sita Zakaria Al Jaber achinjwa na kuchomwa mara kadhaa mwilini mara kadhaa kwa sababu katokea madhehebu ya Shia.

Tukio hilo la aibu na kusikitisha lilitokea Medina ambapo mtoto huyo na mamake walikuwa kwenye teksi wakielekea kuhiji katika madhabahu matakatifu ya Mtume Muhammad.

Walipokaribia kwenye mgahawa ghafla dereva teksi alisimamisha gari na kumburuza dogo kwenye mgahawa. Na kuvunja chupa na kumchinja na baadaye kumchoma kwa Jazba mara kadhaa mwilini huku mamake aliyekuwa anapiga kelele pamoja na polisi aliyekuwa karibu wakijaribu kumzuia.

Serikali inajaribu kudanganya eti jamaa alikuwa chizi ila jamii ya madhehebu ya Shia Saudi Arabia na duniani kwa jumla imekuja juu na kupinga vikali.

Mama wa mtoto anasema Alikuwa akiulizwa mara kwa mara yeye nikutoka madhehebu gani?

Picha ya huyo dogo hapo chini na linki ya habari

Saudi Arabia boy, six, 'beheaded' by taxi driver as screaming mother fought to save him | Daily Mail Online

View attachment 1020010View attachment 1020011


Ndiyo maana imesemwa "Mohammed ameleta balaa duniani. Ni heri asingezaliwa".
 
Mzuqa

Mvulana mwenye miaka sita Zakaria Al Jaber achinjwa na kuchomwa mara kadhaa mwilini mara kadhaa kwa sababu katokea madhehebu ya Shia.

Tukio hilo la aibu na kusikitisha lilitokea Medina ambapo mtoto huyo na mamake walikuwa kwenye teksi wakielekea kuhiji katika madhabahu matakatifu ya Mtume Muhammad.

Walipokaribia kwenye mgahawa ghafla dereva teksi alisimamisha gari na kumburuza dogo kwenye mgahawa. Na kuvunja chupa na kumchinja na baadaye kumchoma kwa Jazba mara kadhaa mwilini huku mamake aliyekuwa anapiga kelele pamoja na polisi aliyekuwa karibu wakijaribu kumzuia.

Serikali inajaribu kudanganya eti jamaa alikuwa chizi ila jamii ya madhehebu ya Shia Saudi Arabia na duniani kwa jumla imekuja juu na kupinga vikali.

Mama wa mtoto anasema Alikuwa akiulizwa mara kwa mara yeye nikutoka madhehebu gani?

Picha ya huyo dogo hapo chini na linki ya habari

Saudi Arabia boy, six, 'beheaded' by taxi driver as screaming mother fought to save him | Daily Mail Online

View attachment 1020010View attachment 1020011

This is unfathomable!
 
Back
Top Bottom