Che Machemba
Member
- May 17, 2019
- 12
- 5
Mvua zinazoendelea kunyesha zitupe funzo kuwa tunapaswa kujiandaa kwa majira mbalimbali ya mwaka,hii ni kutokana na kile kinachoonekana kuwa bado kuna ombwe la "maandalizi" ya kukabiliana na hali mbalimbali za kimazingira,mathalani unakutana na akina Mama/Dada wamebeba watoto bila hata kuwa na nguo nzito zinazowakinga hali ya ubaridi katika kipindi hiki cha mvua.
Wakati mwingine unakutana na watu wamevaa sandals ilihali wanajua kuna mvua na hali ya barabara zetu huwa na maji machafu yenye tope chafu,wengi wao wakiwa Madada/Makaka wenye muonekano smart kiasi unajiuliza wanafeli wapi?.
Ni wakati muafaka sasa kutumia mvua hizi zinazoendelea kunyesha kama somo la kujiandaa kuzikabili badala kuziona kama laana juu ya maisha ya binadamu.
Wakati mwingine unakutana na watu wamevaa sandals ilihali wanajua kuna mvua na hali ya barabara zetu huwa na maji machafu yenye tope chafu,wengi wao wakiwa Madada/Makaka wenye muonekano smart kiasi unajiuliza wanafeli wapi?.
Ni wakati muafaka sasa kutumia mvua hizi zinazoendelea kunyesha kama somo la kujiandaa kuzikabili badala kuziona kama laana juu ya maisha ya binadamu.