Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Michooro bado ipo mapangoni ya kutuletea mvua ya kutengeneza
Chini ya ccm hakuna kitu kinawezekana kwa manufaa ya watanzaniaMakombora ya kuzalisha mvua za kujaza mabwawa ya Umeme toka Vietinum sijui mchakato wa ununuzi wa Makombora hayo uliishia wapi?
😄😁😆😅😂😂Wacha wamalize muda wao kwa kuisubiria meli ktk stendi ya buhongwa
Hoja zao mfilisi. Tuwe tunachunuza uwiano wa hoja zao na historia zao. Wengine malinda mhLeo ukanda wote wa Pwani mvua kubwa sana inanyesha, pia kanda ya ziwa kwa muda wa wiki nzima mvua imenyesha sana.
Sasa ngoja tuone Tanesco na Dawasa watakuja na visingizio gani tena.
Maana Tanesco walifikia kusema mvua imegoma kunyesha mwaka huu sababu ya hayati Magufuli alikata miti millioni 4 kwenye pori la Selous!!
Hujui kwamba pangani ipo pwani?Utoto mwingine raha sana. Eti mvua zinanyesha ukanda wa Pwani na kanda ya Ziwa. Sijui hayo maji ya mvua za kanda ya ziwa na pwani yataimgia katika mito yetu ya Ruaha na Pangani kuliko na mabwawaya kuzalisha umeme.
Mbona zama za wizi zilishapita, mtu aliweza kupiga 1.5 T na akaona isiwe tabu na mkaguzi akamtupilia mbali..Hawana mpangi zaidi ya wizi tu
Nirudi darasani kwamba maji ya pwani na Dara es Salaam yanaingia mto Ruaha na kujaza bwawa la Mtera na Kidatu?Rud darasani usome ramani ya Tanzania vizuri... usituaibushe mitandaoni
Maji ya Mto Pangani yanatoka Arusha na Kilimanjaro. Yanaingia Bwawa la Nyumba ya Mungu. Then yanaingia Mto Pangani. Mto hauanzii mlangoni mwa Bahari. Huku Moshi na Arusha bado hatuna mvua. Ili Mto Pangani ujae maji mvua zinatakiwa kunyesha huku nyanda za juu Kaskazini Mashariki.Hujui kwamba pangani ipo pwani?
Cc mkorintoVile MATAGA hufurahia wakisikia kuwa kudra imefanya kazi na sasa mvua inanyesha👇😁😁😁
Hawajui kwamba Taifa haliwezi kuendelea kwa kutumia kudra.
View attachment 2025778
Huo haukuwa wizi bali ilikuwa ni wizi wa kimbungaMbona zama za wizi zilishapita, mtu aliweza kupiga 1.5 T na akaona isiwe tabu na mkaguzi akamtupilia mbali..
Mkuu asante kwa jiografiaMaji ya Mto Pangani yanatoka Arusha na Kilimanjaro. Yanaingia Bwawa la Nyumba ya Mungu. Then yanaingia Mto Pangani. Mto hauanzii mlangoni mwa Bahari. Huku Moshi na Arusha bado hatuna mvua. Ili Mto Pangani ujae maji mvua zinatakiwa kunyesha huku nyanda za juu Kaskazini Mashariki.
hahahahahaa"kanda ya ziwa kwa muda wa wiki nzima mvua imenyesha sana."
Unalipwa au unajitolea?