Baada ya kuwa patupu dar es salaam kwa siku zilizotabiriwa mvua ie 31/10 mpaka tar 3/11 , Naona mzigo ndo umeanza kumwaga leo usiku wa kuamkia tar 4/11.
Tutegemee yafuatayo
*Mafuriko
*Mwendokasi kupita njia za uchochoroni
*Dart jangwani kujaa
*Dart kusitisha huduma
*umeme kukatika
*abiria kupungua barabarani
*foleni barabara zote za dar
*wagonjwa kupungua mahospitalini
Tutegemee yafuatayo
*Mafuriko
*Mwendokasi kupita njia za uchochoroni
*Dart jangwani kujaa
*Dart kusitisha huduma
*umeme kukatika
*abiria kupungua barabarani
*foleni barabara zote za dar
*wagonjwa kupungua mahospitalini