- Thread starter
- #21
Maeneo ya temeke mbagala huku na ubungo pia kuna mvua sijui sehemu nyingineDar gani kuna mvua?
Maeneo ya temeke mbagala huku na ubungo pia kuna mvua sijui sehemu nyingineDar gani kuna mvua?
Aisee nilikuwa nimelala kumbe nje inapiga balaa.Maeneo ya temeke mbagala huku na ubungo pia kuna mvua sijui sehemu nyingine
Uko kitaa gani mpwa?Bado inaendelea kumwaga
Dah... Mungu awanusuru na majanga.Hii mvua inayomwagika Tanga mida hii subiri kwenye vyombo vya habari kupata mrejesho! Maana dah sio ya zama hizi...ni mvua ya hasira!
Hii mvua ni balaa aisee,nimekaa hapa hostel haipungui hata kidogoHii mvua inayomwagika Tanga mida hii subiri kwenye vyombo vya habari kupata mrejesho! Maana dah sio ya zama hizi...ni mvua ya hasira!
Mtakatifu nyumba yako imeezekwa na kigae au makuti?Aisee nilikuwa nimelala kumbe nje inapiga balaa.
Sikujua kabisa
Hostel ya wapi?Hii mvua ni balaa aisee,nimekaa hapa hostel haipungui hata kidogo
Tanga,kuna sehemu zilipo hostel za usagara secondary wanapaita Hostel.Hostel ya wapi?
Makuti.Mtakatifu nyumba yako imeezekwa na kigae au makuti?
Hii mvua ni balaa aisee,nimekaa hapa hostel haipungui hata kidogo
Umeandaa boat ya dharula?Bado inaendelea kumwaga
Umesahau vyumba vya wageni kujaa watuBaada ya kuwa patupu dar es salaam kwa siku zilizotabiriwa mvua ie 31/10 mpaka tar 3/11 , Naona mzigo ndo umeanza kumwaga leo usiku wa kuamkia tar 4/11.
Tutegemee yafuatayo
*Mafuriko
*Mwendokasi kupita njia za uchochoroni
*Dart jangwani kujaa
*Dart kusitisha huduma
*umeme kukatika
*abiria kupungua barabarani
*foleni barabara zote za dar
*wagonjwa kupungua mahospitalini
Na vyura wa Kihantsi kuhamia makao ya Yanga Afrika.Umesahau vyumba vya wageni kujaa watu