Mvua kunyesha kubwa sana na muda mwingine rasharasha, Huko angani kuna koki?

Acha ujinga.Una smartphone na bando umeweka halafu unashindwa kugoogle jinsi mvua inafanyiwa na aina zake.

Mjinga uliyetukuka.Tafuta hata dogo wa Drs la 5 akupige shule.vitu vingine mnaleta humu ni AIBU.
Hujielew ww..nenda ww huko google..
 
Huwa najiuliza inakuaje kuna muda mvua inanyesha ndogo tu ambayo huitaji hata muavuli(rasha rasha)
Lakini muda mwingine hunyesha kubwa sana..kiasi kwamba mpaka mafuriko au kelele nyingi sana juu ya bati

Je nini kinachopunguza au kuongeza hii presha ya mvua..ikiwa huko angani hakuna koki au kitu chochote kinachoizuia..mpaka nawaza au kuna matabaka mawili..mojanlenye matobo madogo madogo na lingine lenye matobo makubwa makubwa

Msaada tafadhali
Ndo faida ya utoro uliokubuhu.

Badala ya kujadili deal za kuingiza pesa tunaanza kuhangaika kumpa darasa mtoro wa masomo enzi hizo.

Anga linakuwa linasafishwa na kupigwa deki na maji yanamwagwa huku duniani.....
 
Acha ujinga.Una smartphone na bando umeweka halafu unashindwa kugoogle jinsi mvua inafanyiwa na aina zake.

Mjinga uliyetukuka.Tafuta hata dogo wa Drs la 5 akupige shule.vitu vingine mnaleta humu ni AIBU.
huyu bwege alikuwa mtoro sana. sasa kapata smartphone analazimisha tumpe elimu aliyoikimbia..

atavuna mabua sasa
 
huyu bwege alikuwa mtoro sana. sasa kapata smartphone analazimisha tumpe elimu aliyoikimbia..

atavuna mabua sasa

Mfafanulie swali alilouliza acheni ujeuri wenu wa kielimu,Tambua kuna wengi awajui sio yeye tu je uoni kama ukimfafanulia anaweza kwenda kueneza ufahamu kwa watoto wake au kwa watu waliomzunguka,? Kwanini Watanzania tupo hivi badala ufundishe mtu aelewe uongeze watu waelewa, wewe na elimu yako kubwa unamkandamiza na kejeli nyingi na lugha kali, kama ni bwege, mtoro, atavuna mabua. Inasikitisha sana .. Sasa ulichomsaidia hapo ni nini? Watu wote wangekuwa wabinafsi kama wewe unafikiri ungejua kusoma,, hata hizo Google ulizopitia wewe ni watu wenye ufahamu wa kujua kwamba kuna watu watahitaji msaada wa kufahamu jambo moja au lingine na ndio maana hata wewe uliweza kuambiwa kwamba kuna Google unaweza kutafuta kitu fulani au habari fulani ukaipata.., Ninachotaka kusema kwa kifupi ukiona mtu kauliza swali, kama unajua jibu lake mjibu au mfafanulie kama ujibu piga kimya. Hakuna swali la kijinga dunia ..ujinga ni ujinga na swali ni swali. Siku njema ndugu.
 
Mfafanulie swali alilouliza acheni ujeuri wenu wa kielimu,Tambua kuna wengi awajui sio yeye tu je uoni kama ukimfafanulia anaweza kwenda kueneza ufahamu kwa watoto wake au kwa watu waliomzunguka,? Kwanini Watanzania tupo hivi badala ufundishe mtu aelewe uongeze watu waelewa, wewe na elimu yako kubwa unamkandamiza na kejeli nyingi na lugha kali, kama ni bwege, mtoro, atavuna mabua. Inasikitisha sana .. Sasa ulichomsaidia hapo ni nini? Watu wote wangekuwa wabinafsi kama wewe unafikiri ungejua kusoma,, hata hizo Google ulizopitia wewe ni watu wenye ufahamu wa kujua kwamba kuna watu watahitaji msaada wa kufahamu jambo moja au lingine na ndio maana hata wewe uliweza kuambiwa kwamba kuna Google unaweza kutafuta kitu fulani au habari fulani ukaipata.., Ninachotaka kusema kwa kifupi ukiona mtu kauliza swali, kama unajua jibu lake mjibu au mfafanulie kama ujibu piga kimya. Hakuna swali la kijinga dunia ..ujinga ni ujinga na swali ni swali. Siku njema ndugu.
Hoja ndeeefu halafu hakuna kitu.

Kabla ya kunifokea, wewe umeshamfafanulia?

Watoro mpo wengi sana na sasa mnavuna
 
Mfafanulie swali alilouliza acheni ujeuri wenu wa kielimu,Tambua kuna wengi awajui sio yeye tu je uoni kama ukimfafanulia anaweza kwenda kueneza ufahamu kwa watoto wake au kwa watu waliomzunguka,? Kwanini Watanzania tupo hivi badala ufundishe mtu aelewe uongeze watu waelewa, wewe na elimu yako kubwa unamkandamiza na kejeli nyingi na lugha kali, kama ni bwege, mtoro, atavuna mabua. Inasikitisha sana .. Sasa ulichomsaidia hapo ni nini? Watu wote wangekuwa wabinafsi kama wewe unafikiri ungejua kusoma,, hata hizo Google ulizopitia wewe ni watu wenye ufahamu wa kujua kwamba kuna watu watahitaji msaada wa kufahamu jambo moja au lingine na ndio maana hata wewe uliweza kuambiwa kwamba kuna Google unaweza kutafuta kitu fulani au habari fulani ukaipata.., Ninachotaka kusema kwa kifupi ukiona mtu kauliza swali, kama unajua jibu lake mjibu au mfafanulie kama ujibu piga kimya. Hakuna swali la kijinga dunia ..ujinga ni ujinga na swali ni swali. Siku njema ndugu.
Mkuu achana nao hao...siku zote wasiojua kitu ndio wanakuwa wakwanza kupinga au kuropoka ropoka.
 
Siwezi enda huko kwasababu Ni vitu nilifundishwa tangu shule ya msingi juu ya kufanyika kwa mvua na aina zake,olevel nikafundishwa,advance nikasoma somo mojawapo ni Geography.

Ila umetia aibu.
inawezekana ulifundishwa lakini ulitoka empty..kwa jinsi ulivo na sifa ungekuwa una jibu ungeshalimwaga hapa fasta...mbumbumbu..shulen ulikalili jina la baba wa taifa tu
 
Hoja ndeeefu halafu hakuna kitu.

Kabla ya kunifokea, wewe umeshamfafanulia?

Watoro mpo wengi sana na sasa mnavuna

Elimu yako mbovu sanaaa maana unashindwa kutambua maana ya kusoma na kuelimika , unaweza kwenda shule na vyuo mpaka ukazeeka huko na usielimike. Na hili ndio linajionyesha hapa kwamba kwenda kwako shule sana lakini umeshindwa kuelemika.
 
Elimu yako mbovu sanaaa maana unashindwa kutambua maana ya kusoma na kuelimika , unaweza kwenda shule na vyuo mpaka ukazeeka huko na usielimike. Na hili ndio linajionyesha hapa kwamba kwenda kwako shule sana lakini umeshindwa kuelemika.
Yaani niloweke miguu kwenye maji usiku kucha ili nije kumsomesha mtoro na aliyekuwa ananipigia kelele class nisisome kwa utulivu?

Nenda Google, unaweza hata kupata mvua ya kibustani chako hapo home kwa shemeji yako
 
Yaani niloweke miguu kwenye maji usiku kucha ili nije kumsomesha mtoro na aliyekuwa ananipigia kelele class nisisome kwa utulivu?

Nenda Google, unaweza hata kupata mvua ya kibustani chako hapo home kwa shemeji yako
We jamaa una swagga za zaman kinoma..hiv umekuja lini mjini? Maana tangu uisikie google imekuwa shida na sidhan hata kuitumia unaweza kweli
 
We jamaa una swagga za zaman kinoma..hiv umekuja lini mjini? Maana tangu uisikie google imekuwa shida na sidhan hata kuitumia unaweza kweli
Hujui mvua inajitengenezaje kwa umri huu na unajiita mjanja wa mjini.

bora mimi mshamba lakini nina ufahamu na elimu
 
Tunashindwa kujibu swali badala yake tumeligeuza upside down. Mtoa mada kauliza sababu ya mvua kubwa na ndogo na sio jinsi mvua inavyofanyika.
 
Back
Top Bottom