CCM kupitia vibaraka wake( mabeberu na wavurugaji wa siasa ya kidemokrasia nchini) wamesha panga njama za kufanya uchaguzi wa marudio jimboni mwetu , Mimi kama mkaaji wa jimbo hili napenda kuwa tahadhirisha CCM waache kabisa ushamba wa siasa, Singida Mashariki hatuja lalamika popote kuwa tunakosa mambo Fulani ya kimaendeleo kwa kukosa muwakilishi bungeni.
Na badala yake bado tuna tafakari kitendo alichofanyiwa ndugu yetu cha kutaka kuudhulum uhai wake.
Mpaka leo tuna shangaa hata walio husika hawajakamatwa na kisingizio wanachotoa ni cha kitoto kabisa kwamba wamekosa ushirikiano toka kwa Lissu, huu ni umbweze.
Ccm endeleeni kupanda mbegu za chuki kwa wananchi kwa manufaa ya kujaza matumbo yenu.
Niwazi kabisa kuwa kwa mipango yenu ya kidhalimu uchaguzi utarudiwa na sisi kama wana Singida tunasema hatuitaki ccm.
Na badala yake bado tuna tafakari kitendo alichofanyiwa ndugu yetu cha kutaka kuudhulum uhai wake.
Mpaka leo tuna shangaa hata walio husika hawajakamatwa na kisingizio wanachotoa ni cha kitoto kabisa kwamba wamekosa ushirikiano toka kwa Lissu, huu ni umbweze.
Ccm endeleeni kupanda mbegu za chuki kwa wananchi kwa manufaa ya kujaza matumbo yenu.
Niwazi kabisa kuwa kwa mipango yenu ya kidhalimu uchaguzi utarudiwa na sisi kama wana Singida tunasema hatuitaki ccm.