ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Toka saa 3 hatuna umeme huku Kijichi na mvua inaendelea, kazi zimesimama swali kwa ndugu zetu TANESCO, kwanini hakutafuti suluhisho la kudumu kwa tatizo hili la kutoweka kwa umeme mvua inyeshapo?
Maana ni miaka mingi sasa tunashuhudia hali hii ina maana Shirika hawalijui hili? Na wanaweza kutupa sababu yake? Hii hasara nani wa kutufidia na Luku tunalipia? Ni vema tujuzwe sababu na suluhisho la kudumu.
Asante.
Maana ni miaka mingi sasa tunashuhudia hali hii ina maana Shirika hawalijui hili? Na wanaweza kutupa sababu yake? Hii hasara nani wa kutufidia na Luku tunalipia? Ni vema tujuzwe sababu na suluhisho la kudumu.
Asante.