kadefeghe
JF-Expert Member
- Apr 21, 2012
- 446
- 629
Daah mdau wa mzumben moja hyo..sawa sawaa aiseNimekumbuka huko!
Enzi za kutokea Changarawe, nakwenda kupumzisha akili Mlali siku ya mnada!
Daah mdau wa mzumben moja hyo..sawa sawaa aiseNimekumbuka huko!
Enzi za kutokea Changarawe, nakwenda kupumzisha akili Mlali siku ya mnada!
Moro ya akina Minja hiyo!maji yanazidi kukorogeka
Ndo wachome ofisi.😁😁😁CHADEMA wako jela kutumikia kifungo cha kisiasa usiwasingizie,kuchoma moto ofisi na uharibifu wa mali mbalimbali ni cherekochereko za CCM kusherehekea ushindi wa kishindo.
Ni kweli kabisa. Ilikuwa mambo yakiminya naenda zangu kwanza mnadani Mlali napumzika halafu nikirudi nafikia pale viwanja vya "nakutunuku: napiga piga tena msuli.Daah mdau wa mzumben moja hyo..sawa sawaa aise
Kata ipiNyaraka zimechomwa na wananchi wamekimbia kijiji kwa kuhofia kukamatwa na police. police wamethibitisha kutokea kwa tukio ilo.
Kijiji kingine au ni kile kile MLALI? Kama ni kingine basi imekaa njema sana,waendelee tu kuchoma ofisi zote za kata TZ nzima.Nyaraka zimechomwa na wananchi wamekimbia kijiji kwa kuhofia kukamatwa na police. police wamethibitisha kutokea kwa tukio ilo.
Mjini kuna vijiji?!Kata ipi
Moro. Mjini au vijijini
Kinukekimenuka
Hii ni tofauti na ile ya mvomero?Nyaraka zimechomwa na wananchi wamekimbia kijiji kwa kuhofia kukamatwa na police. police wamethibitisha kutokea kwa tukio ilo.
Mjini kuna vijiji?!