mvomero kwa kuchakachua pesa za kujikimu

shee leo

Senior Member
Dec 12, 2011
105
22
Jamani leo kumekuwa na kizaazaa pale halmashauri ya wilaya ya mvomero,moro,eti walimu wamepigiwa simu wafate pesa zao kufika huko wale wa stashahada wanaambiwa wasaign 135,000kwa stashahada na 195000 bila hata kuambiwa nin kinaendelea,baada ya kuhoji wanaambiwa waende bungeni ndo kuna majibu,HIVI NI HAKI KWELI?mim nimezinyaka kwa dogo wangu,baada ya kujibiwa utumbo huo wengne wamechukua ila weng wemegoma,tetesi ni kwamba pesa imekuja yote lakin wanataka walimu wasign hicho kiduchu then nyngne wadhulumiwe.
 
Mwanza jiji tumepewa yote then wakasema wametoa kimakosa yani million 113 ilitumwa na hazina kwa ajili ya chakula cha sekondary wao wakajua ni yetu wakatupa so tusiwasumbue hawana hela ya mizigo, nauli na wategemezi kama vipi eti tuache utumishi
 
Ilala wamelipwa yote ya siku 7. Mizigo wameambiwa waandike barua kwa mkurugenzi.
 
chukueni waandishi wa habari malalamiko yenu yakitangazwa wenyewe chupi zitawabana na utaona wanawapa stahiki zenu.. Na muwe mnawapigia simu wakubwa/waziri na naibu mhusika
 
Wilaya ya Rombo wamepewa zote za siku saba. Nauli na mizigo wameambiwa waandike barua kwa Mkurugenzi then watapewa...
 
Kinondoni 2lgoma, bt wenyewe 2meachia, 2mepewa 195000, na stashahada 135000, n kwel hela ime2mwa ivo!
 
Da kazi ipo,hapa Kigoma Vijijinitumepewa 135000 Shahada na 90000 kwa Stashahada na Cheti then wanatuambia eti mpaka Wiki lijalo ndio watatupatia kwa kweli hali ni mbaya sana,hela ya mizigo tumeambiwa eti hakuna yaani watumishi wa Halimashauri ni wezi wakubwa plus hii serikali
 
Swali,
Je kuna jinsi yoyote mwajiriwa anaweza kujua kama kweli wizara imeshatoa hizi pesa na kuwa, watu wanazungushwa tu hapo wafikapo halmashauri? Website yao wanaweza kueleza ukweli wa kiasi gani ambacho kimeshatumwa? Au hii mitandao kazi yake ipi jamani?
Mwalimu kwenda "kudai" haki yake kulingana na makubaliano sioni kama kweli ni haki.
Kama kuna mapungufu, basi ieleweke, kati ya sh 100, nitapata 75%, kusiwe na huu uswahili...
 
walimu wasiogopwe kukopwa hayo ndiyo maisha yenyewe? na kimsingi wanapaswa kujua nchi hii ni ya wanasiasa na si walimu wala madaktari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom