RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,834
Hukumpenda huyo mtu hata chembe
Nilitaka nishangae.I agree
Hukumpenda huyo mtu hata chembe
Nilitaka nishangae.I agree
Cjui Lakin I Sio pesa kidogo Sema ndo serikal zaKwani wanakusanya ngapi kwa siku?
Ndo Maana mm Mahusiano ya mbaliInatokea.,nilishindwa kumjoin kwa kweli
Bas, hapo n vizr kama wameweka mazingira Mazur sio kama pale ubungoLakini kwa kivukoni huduma sio mbovu kivile, hao walinzi pekee na watumishi wengine pia mishahara sio haba
Duuh hatari sana mkuu! 😒😒 ila tungepambana hadi mlango ufunguke aisee😀Yale maboya kuna kufuli imara sana, na zina kutu kwa vile hazijafunguliwa siku nyingi... unaweza kufa na maboya unayazoom tu kwa ndani!
Wow! Hongera uko vizuri mkuu! Currently kachance kapo wazi?😜Hahaha niko poa.
Niwe mkweli kuwa mimi sio mparamiaji ni mchaguzi, nikimpataga mrembo mmoja huwa nampa mapenzi ya kwwli..hakuna binti amewahi kujuta kuw nami haki
Haya mkuu! Basi tutakuonaaKapo but kwa mtu aliyemaanisha sana
Acha tuje wengi uchague the best one mkuu! Chukua sample kubwa😀 Mbeya lazima twende mkuu!Wewe na nani?
Sitaki foleni ujue we nipeleke mbeya kwa wazazi tuanze maisha
Au upite Mwanamtoti-Mbagala Kuu-Mgeninani-Kibada... njia ya mkato, isiyo na kelele wala mikwaruzo.Poleni sana wakazi wa Kigamboni kwa misukosuko......Kama ni muoga uwe unapita Darajani NSSF au Uzunguke Kongowe-Toangoma-Kibada-Mjimwema.
Kama pantoni limetoboka chini na vyumba vinavyoigawanya kuingia maji Kwa kiasi kikubwa, hii itaathiri stability ya pantoni na inaweza kupelekea kuzama ikipakiwa mzigo.Nini hasa huwa chanzo cha kuzama...kwa kifupi tu boss kubwa
Nimekuelewa bossKama pantoni limetoboka chini na vyumba vinavyoigawanya kuingia maji Kwa kiasi kikubwa, hii itaathiri stability ya pantoni na inaweza kupelekea kuzama ikipakiwa mzigo.
Upakiaji mbovu wa mzigo, kwa pantoni sio ishu Sana maana hapo kigamboni mizigo mizito mingi inaoakiwa chini na haiwezi kuathiri kitovu cha kuelea meli. Labda watu wajae Sana deck ya juu na uzito uwe mkubwa hapo wimbi au upepo mkali ukipiga meli ikiyumba haitokuwa na uwezo wa kurudi tena itaenda moja Kwa moja.
Mapozi gani tena mkuu! Au unanitafutia sababu tuuMtachanganya feelings zangu mmoja ndio mpango mzima, sema unakuaga na mapozi sana bibie
Tusidanganyane kama utakua na kumbukumbu nzuri Mwaka 2018Pantoni au meli kuzama sio Jambo rahisi kama watu wanavyo ongea Kwa hapo hata watu wakijaa hawawezi kuathiri ship stability maana wengi wanakaa sehemu ya chini na katikati.
Kushindwa kupaki pantoni hakuwezi kuzamisha zaidi ya kupoteza muda au pantoni kupelekwa upande ambao upepo unavuma na kwenda kugonga vyombo vingine au maboya yaliyopo baharini.
Kuzama ni habari nyingine na sababu zake ni tofauti.