Mwizi na baba wa wongo ni wewe.midomo yako ni fitina tupu.Magufuli oyeeKama wewe sio mwizi mbona unamtetea mwizi,ina maana wewe huoni hiyo boti ya magufuli ni ya kizamani? alafu imenunuliwa gharama kuliko ya kisasa huo sio wizi ni nini.
Makufuli Ni fisadi siku nyingi, hawataweza kujisafisha tena! Labda wajisafishe na kuwaachia wale mashekhe wa wetu la sivyo kigamboni haupati kura, waislamu nao hatukupi kura fisadi makofili. Hela yote kajenga hotel kubwa kulala 150
mi sipendlei UKAWA wala CCM, ila inshu y MV Dar es salaam ni kwel, coz mi naishi kgambn naiona na haifai kusafrishia abiria, km hujui kuna mwanajeshi kashakufa kisa mv dar ilizngua, hata km unatak kusema makufuli hausik au sio fisadi, ila mv dar es salaam ndo iko ivo haifanani kabsa na kilimanjaro V, acheni ushabiki w kijnga. Nyie watu w mikoa hamwez kuelewa, sisi 2lopo Dar ndo 2naona mambo na ukwel, yani unabsha wakat Mv dar es salaam inafahamik kuw ni bovu ? Kwel watz ha2wez kubadlika, na wengne wanalijua hilo ila wanafnya makusud sa unamkomoa nani ? Achen ushabk wa chama, muulze m2 yoyote wa Dar akupe stori ya Mv dar es salaam.
Mutaelewa 2 safari hii, mabdliko lzmm
kweli tusiandikie wino na mate yapo,,, tuweke yamini sasa huyo mamvi akishindwa "kihalali" na hiki kidingi utanipa nini?
Subiri hilo litokee, na kama litatokea basi amini kuwa Mwenyekiti wenu hatabaki salama. Muulize Pinda kwanini alizimwa na ile issue yake ya kukataa V8? Unajua kwanini Dowans (Richmond) iliunganishwa kwenye mradi wa umeme wa gesi ambao Marekani inausimamia kwa sasa?
Usimuone Lowassa amekaa kimya, na ushukuru tu kwa jinsi alivyoamua kukaa kimya coz akiamua kuongea ndio mtajua kama Mwenyekiti wenu ndiye mchafu namba moja. Na ndio mtajua jinsi anavyojitajirisha kwa matangazo hewa ya utalii akishirikiana na Pinto wa Jambo Leo.
Ova
tuwage basi na shukrani hata kidogo jamani.. uungwana ni kutodharau kila panapoonekana walau juhudi kidogo imefanyika,,, kuliko kutoka ubungo mpaka chamazi kwa miguu ni bora sana ukienda hata kwa baiskeli mbovu mbovu,, namaanisha it's better LATE than NEVER
hii ni kwa wale wanaobisha
Sawa tu. Hata km ni mfumo uliomfanya afanye nfio hasa tunataka kuuondoa pamoja na yeye lwa sababu ni zao la mfumo
Kungekuwa na vi data au japo vi karatasi viwili vitatu hii kitu ingekuwa moto sana. . . Lakini kama Richmond ilikuwa ni baraza na mamlaka za juu hili kwa nini apewe huyu binafsi??!!
Ndio maana mnaambiwa hapa kila uchao achaneni na vyama cha maana ni kura tu waachieni wahangaike nyie pigeni kura tu baaas. . . . .Ila wananchi wamegeuka wasemaji wa vyama, mahakimu na mawakili hapo hapo. . . .CCM Wakisema Lowassa fisadi linawarudia wenyewe kwa nini hawajamkamata miaka yote, tena jk alimnadi na kusema Richmond ni ajali ya kisiasa. Kwa lugha nyingine CCM inathibitisha kushindwa kudhibiti wizi na kulinda wezi ilimradi wawe wanaccm watiifu.
This is very true. Huhitaji data kwenye issue ya masaa ya safari. Ni zaidi ya matatu wakati bus inatumia saa moja unusu. Technically hata ungekuwa wewe ungepanda bus uwahi Dar.Ndio maana hatupandi.
Concept ya huu mradi ilikuwa kupunguza foleni kwakutumia njia ya bahari kwa kutumia fast boat ambayo ingechukua abiria na magari kwa vituo kama vinne njiani. Maagati yalikuwa yajengwe kwenye vituo kama vinne. Boat imeletwa na design ya magati ndio wanafanya. Jiulize nini kingetanggulia boat au vituo?
Issues za safety ni za hiovyo huwezi linganisha na azam Kilimanjaro V hata kidogo. in short tumeliwa. Data nyingi kama bei Google tu utapata huna haja ya karatasi. Kilimanjaro V ukitaka uione panda toka Dar mpaka Zanzibar.
I am ccm kwa hili huyu mgombea wetu ameharibu kabisa. Tumsamehe tu.
Huo uzushi tu
mi sipendlei UKAWA wala CCM, ila inshu y MV Dar es salaam ni kwel, coz mi naishi kgambn naiona na haifai kusafrishia abiria, km hujui kuna mwanajeshi kashakufa kisa mv dar ilizngua, hata km unatak kusema makufuli hausik au sio fisadi, ila mv dar es salaam ndo iko ivo haifanani kabsa na kilimanjaro V, acheni ushabiki w kijnga. Nyie watu w mikoa hamwez kuelewa, sisi 2lopo Dar ndo 2naona mambo na ukwel, yani unabsha wakat Mv dar es salaam inafahamik kuw ni bovu ? Kwel watz ha2wez kubadlika, na wengne wanalijua hilo ila wanafnya makusud sa unamkomoa nani ? Achen ushabk wa chama, muulze m2 yoyote wa Dar akupe stori ya Mv dar es salaam.
Mutaelewa 2 safari hii, mabdliko lzmm
Kungekuwa na vi data au japo vi karatasi viwili vitatu hii kitu ingekuwa moto sana. . . Lakini kama Richmond ilikuwa ni baraza na mamlaka za juu hili kwa nini apewe huyu binafsi??!!