MV Bukoba ilipozama nilikuwa mdogo, nilihuzunika sana

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,176
103,656
283146843_5388511204542170_5252951233285567579_n.jpg


MV Bukoba ilikuwa feri iliyokuwa ikitoa huduma ya kubeba mizigo na abiria katika Ziwa Viktoria kati ya bandari za Bukoba na Mwanza. Tarehe 21 Mei 1996 ilizama kwenye njia ya kuelekea Mwanza. Abiria wengi walikufa na idadi yao imekadiriwa kuwa 1,000 hivi, lakini idadi iliyotangazwa rasmi ilikuwa 894.

Mwaka huo nilikuwa darasa la pili huko kijijini. Time keeper alinituma nikapige kengere Mwalimu Mkuu anataka kuhutubia. Hatukuwa tunajua kuna nini. Mwalimu akatueleza kwa masikitiko makubwa na kuruhusu kurudi nyumbani kuomboleza.
 
View attachment 2232923

MV Bukoba ilikuwa feri iliyokuwa ikitoa huduma ya kubeba mizigo na abiria katika Ziwa Viktoria kati ya bandari za Bukoba na Mwanza. Tarehe 21 Mei 1996 ilizama kwenye njia ya kuelekea Mwanza. Abiria wengi walikufa na idadi yao imekadiriwa kuwa 1,000 hivi, lakini idadi iliyotangazwa rasmi ilikuwa 894.

Mwaka huo nilikuwa darasa la pili huko kijijini. Time keeper alinituma nikapige kengere Mwalimu Mkuu anataka kuhutubia. Hatukuwa tunajua kuna nini. Mwalimu akatueleza kwa masikitiko makubwa na kuruhusu kurudi nyumbani kuomboleza.
Wampumzike kwa amani Theopista, Lisho na Ester. Wahanga wa MV BUKOBA. Tuliwapenda sana lakini Mungu aliwapenda zaidi. Mpumzike kwa amani.
 
View attachment 2232923

MV Bukoba ilikuwa feri iliyokuwa ikitoa huduma ya kubeba mizigo na abiria katika Ziwa Viktoria kati ya bandari za Bukoba na Mwanza. Tarehe 21 Mei 1996 ilizama kwenye njia ya kuelekea Mwanza. Abiria wengi walikufa na idadi yao imekadiriwa kuwa 1,000 hivi, lakini idadi iliyotangazwa rasmi ilikuwa 894.

Mwaka huo nilikuwa darasa la pili huko kijijini. Time keeper alinituma nikapige kengere Mwalimu Mkuu anataka kuhutubia. Hatukuwa tunajua kuna nini. Mwalimu akatueleza kwa masikitiko makubwa na kuruhusu kurudi nyumbani kuomboleza.
Mi nilikuwa namalizia form six...hebu amkia kwanza dogo
 
View attachment 2232923

MV Bukoba ilikuwa feri iliyokuwa ikitoa huduma ya kubeba mizigo na abiria katika Ziwa Viktoria kati ya bandari za Bukoba na Mwanza. Tarehe 21 Mei 1996 ilizama kwenye njia ya kuelekea Mwanza. Abiria wengi walikufa na idadi yao imekadiriwa kuwa 1,000 hivi, lakini idadi iliyotangazwa rasmi ilikuwa 894.

Mwaka huo nilikuwa darasa la pili huko kijijini. Time keeper alinituma nikapige kengere Mwalimu Mkuu anataka kuhutubia. Hatukuwa tunajua kuna nini. Mwalimu akatueleza kwa masikitiko makubwa na kuruhusu kurudi nyumbani kuomboleza.
Pole sana kwa kumbukumbu hii ya kuhuzunisha.
 
Hiyo ajali iliondoka rafiki wa Osama bin Laden ambae alikua kiongozi mkubwa wa Al-qaeda kanda hii ya Africa mashariki Abu ubaidah al-Banshir
Tz Hadi leo wanakaa watu hatari bila mamlaka kujua Ila wanajidai wataam wa intelijensia
 
View attachment 2232923

MV Bukoba ilikuwa feri iliyokuwa ikitoa huduma ya kubeba mizigo na abiria katika Ziwa Viktoria kati ya bandari za Bukoba na Mwanza. Tarehe 21 Mei 1996 ilizama kwenye njia ya kuelekea Mwanza. Abiria wengi walikufa na idadi yao imekadiriwa kuwa 1,000 hivi, lakini idadi iliyotangazwa rasmi ilikuwa 894.

Mwaka huo nilikuwa darasa la pili huko kijijini. Time keeper alinituma nikapige kengere Mwalimu Mkuu anataka kuhutubia. Hatukuwa tunajua kuna nini. Mwalimu akatueleza kwa masikitiko makubwa na kuruhusu kurudi nyumbani kuomboleza.
... ni vema ungeanza na Shikamooni wakubwa.
 
Hiyo ajali iliondoka rafiki wa Osama bin Laden ambae alikua kiongozi mkubwa wa Al-qaeda kanda hii ya Africa mashariki Abu ubaidah al-Banshir
Tz Hadi leo wanakaa watu hatari bila mamlaka kujua Ila wanajidai wataam wa intelijensia
Kusoma kwangu kote habari za MV Bukoba sijawahi kujua hili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom