I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,726
- 10,020
Kwa ufupi huko zamani enzi za uzee wangu sikuwa kabisa mpenzi wala mtu wa mziki kabisa. Lakini mwaka 2009 au 2011 hivi ndipo nilipoanza kufuatilia na kuupenda mziki lakini, hayo yote yalikuja baada ya kusikia mziki mmoja mkubwa sana kwenye moja ya daladala iliyokuwa ikipita pembeni yangu na nilivutiwa sana kumjua aliyeimba huo wimbo ni nani.
Na msanii huyo akawa ndio kiongozi wa wasanii wote nilioanza kuwakubali tangu hapo. Na si mwingine bali ni;
DIAMOND PLATNUMZ: kamwambie.
Wengineo;
Na wengineo wengi.
Na msanii huyo akawa ndio kiongozi wa wasanii wote nilioanza kuwakubali tangu hapo. Na si mwingine bali ni;
DIAMOND PLATNUMZ: kamwambie.
Wengineo;
- Vanessa Mdee : tangazo la airtel money( kipindi hicho).
- Ben Pol: Jikubali
- Madee Pombe yangu.
- Tunda man: Nipe ripoti
- Nandi : Nagusagusa.
Na wengineo wengi.