mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
unazungumzia miziki ya marlow, sugu na jaydee? be serious
Kwa huduma yetu ya internet ndio maana tumeamua kUplan kuweka mbinu mbadala wa kulipia beimkuu hilo jambo lingewezekana kama huduma ya internet ingekuwa inawafikia watanzania wote na kwa bei nafuu, hili swala lingefanikiwa tungepata changamoto nyingine ya internet service