Muziki wa sasa mtihani

Kuna ile singeli cjui kaimba nani anasema ..jmn naheshimu madanga ya mke wangu ......cjui tunaelekea wapi
 
juzi nilikuwa nmekaa na mamamkwe pamoja na babamkwe walipita kuisalimia familia yangu,sasa tuko mezan mara huku tv ipo on ukaingia wimbo wa haronize sandakalawe daaaa.

leo nakutooo to to
ninahamu ya kutoo to

nikajifanya sielew babamkwe akajifanya kuleta mada nyingne japo sura zetu zilijieleza vzr kitu gan kimetokea.

AIBU
 
Miziki ya sasa hivi ni kama aibu !

Kama una umri fulani itakubidi kuchagua aina za miziki .

Kwa wale mnaofahamu lugha kutokana na miziki mtakuwa mnaelewa.

Tuje kwenye miziki yetu ya ndani hapa tanzania tena kizazi hiki.
unajua tena ofisi binafsi kama unamiliki kuwa na tv ni jambo la kawaida.

Sasa chaneli iliyowekwa ikawa inapiga nyimbo hizi za vijana.

Kuna nyimbo moja ya kadada kamoja kana jiita vitu vilivyomo kwenye bustani ,mtajua kwenye bustani kunatakiwa kuwekwa nini ila sio za bustani ya vyakula.

Ile nyimbo kwa kweli ni aibu kama inavosema "mwagia ndani ,mwagia ndani chakula ya watoto"

Suala jingine kwenye miziki ya sasa kuna maneno ya ajabu ajabu na si kiburudisho.
Zamani nilikuwa mpenzi wa bongo flavor za kina Diamond na Harmonize pamoja na hao uliowataja.

Lakini walivyoanza kuimba matusi ya nguoni nilishajitoa kusikiliza hizo nyimbo zamani kitambo sana.

Yaani ni aibu sana kusikiliza mkiwa watu zaidi ya mmoja peke yako kusema kweli.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana wenzangu hapa mtaani wananiita mzee🤭😂 eti kwa sababu napenda kuskiliza sana nyimbo za Oliver Ngoma 🤓 wakati mimi ni kijana kabisa
 
Siku hizi mimi nimebaki naangalia nyimbo za dansi na aghalabu za kizalendo za majeshi yetu . Huu ubongo wa fleva ni XX tupu.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom