Gabraison jr
Member
- Sep 7, 2011
- 21
- 1
2kiwa kama wadau wa muzik huu wa bongo fleva hebu 2jadili ukuaj wake.wapo wanaosema bongofleva inaelekea shimon na wapo wanaosema inakua ukiwa kama mdau una maon gan?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kwa swali lako. Kwa mtazamo wangu naona miaka kumi iliyopita imeshuhudia upigwaji wa hatua kubwa sana kwenye muziki wa bongo fleva. Kuongezeka kwa studio, malipo ya album kuboreka, club nyingi kupiga bongo fleva, wanasiasa kutumia wanamuziki, wanamuziki kupata shows nje ya nchi ni baadhi ya hatua ambazo haziwezi kubezwa. Hata hivyo tasnia ya muziki kwa ujumla bado haijapewa umuhimu sana na serikali. Serikali imeshindwa kabisa kuwasaidia wanamuziki kutokana na kudhulumiwa mapato au kupewa mapato kiduchu na wenye dhamana ya kuuza kazi zao. Nadhani tatizo hili likipata utatuzi tutarajie kuona wanamuziki wa bongofleva nao wakiishi kama wenzao wa Uganda ambako kuna mfumo mzuri wa mauzo ya kazi za wasanii.
poa lakini studio nyingi ambazo zpo ni uchwara
Asante sana kwa swali lako. Kwa mtazamo wangu naona miaka kumi iliyopita imeshuhudia upigwaji wa hatua kubwa sana kwenye muziki wa bongo fleva. Kuongezeka kwa studio, malipo ya album kuboreka, club nyingi kupiga bongo fleva, wanasiasa kutumia wanamuziki, wanamuziki kupata shows nje ya nchi ni baadhi ya hatua ambazo haziwezi kubezwa. Hata hivyo tasnia ya muziki kwa ujumla bado haijapewa umuhimu sana na serikali. Serikali imeshindwa kabisa kuwasaidia wanamuziki kutokana na kudhulumiwa mapato au kupewa mapato kiduchu na wenye dhamana ya kuuza kazi zao. Nadhani tatizo hili likipata utatuzi tutarajie kuona wanamuziki wa bongofleva nao wakiishi kama wenzao wa Uganda ambako kuna mfumo mzuri wa mauzo ya kazi za wasanii.