Unahitaji kufanya nini kuhusu copper leaching?Hi guys.anyone who is interested with leaching project anaweza ni PM
Ni mradi wa kufua copper 99.9 percentHi guys.anyone who is interested with leaching project anaweza ni PM
Poa, wewe unapatikana wapi? Unaweza nipa namba ya simu? Mie pia nina vitaru vya copper ore na ni mzuri sana kwenye designs za mashines mbalimbali, mechanical parts na controls, kikazi nipo Symbion ila nafuatilia sana industrial minerals. Tafadhali tuwasiliane zaidi tuone tunafanyaje.Ni mradi wa kufua copper 99.9 percent
Unahitaji mtaji mkubwa kidogo kwa kuanzia
Unatumia copper ore yenye low percent toka 5% and above unafanya kama video inavyoonyesha
Kwenye chumba cha kawaida unaweza vuna mpaka kg 300 daily za pure copper cathodes 99.9 %
Ukishaingiza mtaji huhitaji fedha tena unavuna kwa miezi 4.5 ndo unaongeza mchanga mwingine na chemical
Unaweza kupanuka unavyotaka. Ukianza na mtaji kama hutautoa unaweza kwensa mpaka tani 10 za copper kwa siku kutokana na mtaji ulioanza wa kg 300 kwa siku.
Ni mradi ambao hauna hasara au hasara ni very minimal na unaweza kurudisha fedha yako uliyowekeza baada ya miezi miwili yaani siku 60 baada ya hapo ukavuna kwa miezi 2.5 iliyobaki katika mzunguko wa kwanza na ukaendelea kupanuka kwa kutumia faida mpaka ukafika unakotaka.
Ni utaalamu mpya kwa Tz ila zambia ni wa muda mrefu
Atakayevutiwa aje inbox kwa maelezo ya ziada Tunao utaalamu wa kutosha tuna leseni za uchimbaji
Tuna maeneo ya uchimbaji tuna eneo la uzalishaji
Tunahitaji mtu mwenye mtaji tuunganike.
Whatapp no +447937268306Poa, wewe unapatikana wapi? Unaweza nipa namba ya simu? Mie pia nina vitaru vya copper ore na ni mzuri sana kwenye designs za mashines mbalimbali, mechanical parts na controls, kikazi nipo Symbion ila nafuatilia sana industrial minerals. Tafadhali tuwasiliane zaidi tuone tunafanyaje.
NB: sojaona hiyo video hapo?
Nimejaribu whatapps hii namba si kupata, naomba ni whatapps simu yangu no. +255655598773 please!Whatapp no +447937268306