mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,411
- 7,014
Majitu majinga na yanazidi kuwa majinga kila siku. Na ka elfu mbili kako ka mawazo ulikotoa then unategemea ubarikiwe?
Kama ni muajiriwa unalipwa kuanzia laki 4 basi sadaka ni angalau 10000 na zaka 40000 kila mwezi. Jumla ni 50000 tu.
Watu ndiyo maana ni masikini. Mimi najua kabisa unalipwa 5M then mwisho wa mwezi sioni zaka aisee nakupigia simu utume changu mapema mno.
Jifunzeni kutoa acheni uchoyo... hata nikinunua range na wewe si unabarikiwa? Unapata furaha gani baba yako wa kiroho anatembelea IST au Harrier tako la nyani? Fanya mitikasi ukiweza apate range kali.
Watanzania tuache roho za kichoyo shenzi kabisa
Kama ni muajiriwa unalipwa kuanzia laki 4 basi sadaka ni angalau 10000 na zaka 40000 kila mwezi. Jumla ni 50000 tu.
Watu ndiyo maana ni masikini. Mimi najua kabisa unalipwa 5M then mwisho wa mwezi sioni zaka aisee nakupigia simu utume changu mapema mno.
Jifunzeni kutoa acheni uchoyo... hata nikinunua range na wewe si unabarikiwa? Unapata furaha gani baba yako wa kiroho anatembelea IST au Harrier tako la nyani? Fanya mitikasi ukiweza apate range kali.
Watanzania tuache roho za kichoyo shenzi kabisa