Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,407
- 13,791
- Thread starter
- #41
Hahahahahahaha bilionea huyu hamnazoNyie Joliejolie na Bilionea Asigwa ... mbavu zangu jamani!
Hahahahahahaha bilionea huyu hamnazoNyie Joliejolie na Bilionea Asigwa ... mbavu zangu jamani!
he he he heNyie Joliejolie na Bilionea Asigwa ... mbavu zangu jamani!
Umewaza kama mimi.Kama nna shida nta bisha hodi tu asee
Labda uandike pale mlango
"Closed" au uandika "Mekwe"
Ah! We Jolie Jolie inaelekea hujawahi ishi na akina Roho ya Kwanini wewe! Mkijifanya kukausha; litarushwa jungu gizani hapo na lazima mlango ufunguliwe huku mmoja akiwa kanuna!!Hahahaha yani we ni hufai siku nyingine hata ukigonga hufunguliwi,ukipiga simu hupokelewi
nakuwa naazima nawekaHaha unanunua na viatu vya kike kabisa
kweli ni mbinu nzuri.
Unakuta viatu vya aina mbili mlangoni,bado unakazana kupiga hodi.Unataka kugundua nini?View attachment 728661
una-assume IT'S A BREAK TIME!Hahahaha unaondoka tu,unasubiri kaka lisaa limoja ndo urudi
Hahaha na mlango wamefungaUmewaza kama mimi.
Kwani lazima kila jinsia mbili zikiwa ndani ziwe zinafanya shughuli pendwa? Pengine ni marafiki tu wanapiga zao stori.
Hahahahahahahahha hivi sasa ukiulozwa shida yako nini utawajibu nini?Ah! We Jolie Jolie inaelekea hujawahi ishi na akina Roho ya Kwanini wewe! Mkijifanya kukausha; litarushwa jungu gizani hapo na lazima mlango ufunguliwe huku mmoja akiwa kanuna!!
Hahaha ili tu usisumbuliwe?nakuwa naazima naweka
Hahahah wakakukwapuliaNilifanya the same nikakuta raba(viatu vyangu) hakuna. Nikaondoka na kandambili za chooni. Ilikua 2002 Sinza Kumekucha karibu na Lion's Hotel.
Unaendelea tu kugongauna-assume IT'S A BREAK TIME!
Ndio wengine hawajazoea kukaa mlango wazi, muda wote mlango unafungwa.Hahaha na mlango wamefunga
Umejuaje?Huyo mwenye viatu vyeusi ndo kakaribishwa
Huhuhu mwenye nyumba katangulia mgeni kafuataUmejuaje?
Hahaha umeona eeee,una akili sana mai wangu.Maana huo ukaaji wa viatu unajieleza waziHuyo mwenye viatu vyeusi ndo kakaribishwa