Muwasho kwenye uume,

Sikasyakamo

Member
Aug 1, 2015
36
9
Habari, nimepatwa na tatizo nawashwa uume kwa wiki nne sasa na nimeenda pharmacy kupima anasema sina tatizo lolote, chanzo ni kuwa huwa naishi mbali na mke siku alikuja kunitembelea nilikaa nae siku mbili baada ya sex sehemu uume ulipolalia Kwe paja baada ya kumaliza mchezo Ndio palipoanza kuwasha baada ya siku mbili, pakaacha na sasa uume unawasha kama mzio flani hivi. Nini tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom