California hawana la kujifunza kuhusu maendeleo hapa Tanzania tusijidanganye.
California hawana la kujifunza kuhusu maendeleo hapa Tanzania tusijidanganye.
Sio kweli watu WA mosh they know how to organize issues partaing development !!!! Pia wanaamini ccm ndio inawachelewesha which is trueUtawalaumu bure hao jamaa, huko Moshi wako fevad cncy colonial era, hadi govt zote zilizopita ukiitoa hii, We angelia Dar na population yake lakini kuna sehemu kibao dawasco hawajafika ni maji ya visima tu watu wanakunywa tena walivyochimba wenyewe,
Mkuu labda haukuangslia vizuri ,TBC muonekano wake umebadilika
sikatai ila baba katika harakat za kulijenga taifa kituoni moshi.....maji ya moshi ni tofauti pindi ukiyanywa ladha yake ni tofauti sana na mengine.Water is tasteless FYI
Sifa ya maji yakunywa ni yasiwe na rangi wala ladha!halafu maji ya moshi matamu sana
Na yasiwe na harufu piaSifa ya maji yakunywa ni yasiwe na rangi wala ladha!
Utamu unaouzungumzia ni upi mkuu?
Mkuu labda Mimi ndo sijakuelewa Hiyo Mamlaka ya Moshi imezima Mitambo ya Kuzalisha maji sasa Maji INA Maana yanatoka mtono yenyewe?Katika hali isiyo ya kawaida lakini sio kawaida zaidi kwa nchi ya Kiafrika kufanya hivyo, mamlaka ya maji safi na maji taka mji wa Moshi (MUWAS) imeamua kuzima mtambo wake mmoja baada ya kuzalisha maji ya ziada kwa asilimia 270%.
Hali hiyo ilizishitua mamlaka nyingi za maji duniani ambapo mamlaka zinazohusika na maji Cape Town na California ,ambazo kwa kiasi kikubwa zimekumbwa na uhaba wa maji walifunga safari hadi Moshi kuja kujifunza ni hasa watu hawa wamewezaje.
Bila hiana MUWSA iliwapa elimu muhimu ya kuweza zalisha maji ya ziada katika maeneo yao ambapo walisema siri kubwa ni utanzaji wa vyanzo vya maji pamoja na uwekezaji mkubwa uliofanya na serikali katika mitambo na miundombinu mingine.
Mamlaka nyingine mbili nazo kuzima mitambo kabla ya mwisho wa mwaka huu.
Nilisoma juzi juzi kuwa Moshi ndio manispaa inayoongoza Afrika kwa ipatikanaji wa maji kwa asilimia 100 yakiwa ndio maji bora zaidi Afrika. Cha ajabu kuna mikoa inapakana na maziwa makubwa Afrika lakini hakuna maji mtaani.Moshi ) Kilimanjaro ndio mwalimu wa kila kitu
Elimu
Afya
Miundombn nk
The Great Haya
instanbul
GUSSIE
fazili
sky éclat
Frank Wanjiru
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku mkiwafikia wahaya kwenye ndo hunitag.kasome kwanzaMoshi ) Kilimanjaro ndio mwalimu wa kila kitu
Elimu
Afya
Miundombn nk
The Great Haya
instanbul
GUSSIE
fazili
sky éclat
Frank Wanjiru
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kuhusu Meno kuoza we mtu wa UruNilisoma juzi juzi kuwa Moshi ndio manispaa inayoongoza Afrika kwa ipatikanaji wa maji kwa asilimia 100 yakiwa ndio maji bora zaidi Afrika. Cha ajabu kuna mikoa inapakana na maziwa makubwa Afrika lakini hakuna maji mtaani.
Meno ya dhahabu Ni asili yetu
Tuwafikie wahaya kwa kitu Gan umaskini au?
Haswaa wahaya dumu lá maji 500 wakati wapo ziwanNilisoma juzi juzi kuwa Moshi ndio manispaa inayoongoza Afrika kwa ipatikanaji wa maji kwa asilimia 100 yakiwa ndio maji bora zaidi Afrika. Cha ajabu kuna mikoa inapakana na maziwa makubwa Afrika lakini hakuna maji mtaani.
Bei mbona iko safi tu ya maji hasa vijijini?Wapunguze bei ya maji. Siyo kuzalisha maji ya ziada 270% bei bado juu.
Kweli we ni kichaa kabisa.mvua zote za bukoba mwaka mzima eti kuwe na shida ya maji? Hivi tz kunasehemu inayopata mvua kama Bukoba? Hivi unajua bukoba kuna maziwa kibao mfano ikimba huko Bukoba vijijini,burigi na lile la kule karagwe na bado hujagusa ziwa Victoria.
We ni kichaa kabisa naongelea Meno yako kuoza we unanipostia hao mademu?Meno ya dhahabu Ni asili yetu
Utafiti umefanyika miji yote Africa Moshi pekee ndio yenye maji Safi na salama yasiyohitaji kuchemshwa
Sisi hatunywi maji ya vinyesi vya ziwani ka nyie wa bukoba karibu uchagani boss View attachment 1073735
Sent using Jamii Forums mobile app