mi ni mpenzi wa series kama 24, p/break, lost, fringe, heroes,revolution,walking dead, nk.....kuna siku bwana mdogo kaniletea muvi ya kibongo na akaniahidi sintoboreka nayo, kwa shingo upande nikaanza kuiangalia, infact wamejitahid nakushauri na we mwenzangu itafute inaitwa SHIKAMOO MZEE, kacheza mzee majuto,JB, shamsa ford na wengineo,kubwa nililo enjoy ni umahili wao wa kuongea na kujishahibisha na kuwa watoto wa mjini, kwa kweli ina afadhali ukilinganisha na zingine, kwa jinsi nivo iona sijui wadau kama mmeiona mwasemaje