Muungwana ni vitendo, kwa hili Spika Ndugai amuombe radhi Masele

Alex Fredrick

JF-Expert Member
Jun 21, 2016
680
1,338
Hatimaye tume iliyoundwa kumchunguza Mr Nkodo Dang ambaye ni Rais Bunge la Africa, Imebaini ni kweli huyu bwana Dang alihusika na vitendo vya kuwanyanyasa kingono wafanyakazi wa Bunge hilo.

Nadhani sasa ni wakati muafaka kwa Spika Job Ndugai kumuomba msamaha Mbunge Steven Massele .

Kwa maana maaumzi yake aliyotoa juzi inaonyesha hakutumia kanuni yoyote ile zaidi ya kudanganywa na huyu Baazaz Dang

Muungwana ni vitengo na kwahili Spika umeteleza.
Alex Fredrick
Dar es salaam
 
Hatimaye tume iliyoundwa kumchunguza Mr Nkodo Dang ambaye ni Rais Bunge la Africa, Imebaini ni kweli huyu bwana Dang alihusika na vitendo vya kuwanyanyasa kingono wafanyakazi wa Bunge hilo.

Nadhani sasa ni wakati muafaka kwa Spika Job Ndugai kumuomba msamaha Mbunge Steven Massele .

Kwa maana maaumzi yake aliyotoa juzi inaonyesha hakutumia kanuni yoyote ile zaidi ya kudanganywa na huyu Baazaz Dang

Muungwana ni vitengo na kwahili Spika umeteleza.
Alex Fredrick
Dar es salaam
Naunga mkono hoja
P
 
Aibu kubwa sana, huyu spika anapiga ccm wenzake na kuwavua nguo wakina mama bila kuomba msamaha bali kujisifu hadharani ndiyo aombe msamaha kwenye hili la masele, sahau kabisa
 
Speaker lazima utoe sauti ya kusika vizuri tu hata kwa waliombali.
Kiti cha spika kimenajisiwa.
Lkn tukumbuke kuwa aliteuliwa na kichaa mwenye kawaida ya kuteua vichaa wenzake
 
Naunga mkono hoja
P
Sikuona huu uzi,kongole bro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom