Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Hatimaye tume iliyoundwa kumchunguza Mr Nkodo Dang ambaye ni Rais Bunge la Africa, Imebaini ni kweli huyu bwana Dang alihusika na vitendo vya kuwanyanyasa kingono wafanyakazi wa Bunge hilo.
Nadhani sasa ni wakati muafaka kwa Spika Job Ndugai kumuomba msamaha Mbunge Steven Massele .
Kwa maana maaumzi yake aliyotoa juzi inaonyesha hakutumia kanuni yoyote ile zaidi ya kudanganywa na huyu Baazaz Dang
Muungwana ni vitengo na kwahili Spika umeteleza.
Alex Fredrick
Dar es salaam
Nadhani sasa ni wakati muafaka kwa Spika Job Ndugai kumuomba msamaha Mbunge Steven Massele .
Kwa maana maaumzi yake aliyotoa juzi inaonyesha hakutumia kanuni yoyote ile zaidi ya kudanganywa na huyu Baazaz Dang
Muungwana ni vitengo na kwahili Spika umeteleza.
Alex Fredrick
Dar es salaam