Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,465
- 2,143
Naomba kufahamu muundo wa muungano wetu na mambo yapi ni ya muungano na yapi si ya muungano kwa sababu naona wakt mwngne zanzibar wanatoa updates za wagonjwa wa corona wkt hku bara tupo kimya wkt ni nchi moja ya jamhuri ya muungano wa Tanzania....... Msaada tafadhali....... Natanguliza shukrani
Its not over until its over...
Its not over until its over...