Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 2,522
- 2,985
Sasa wewe elimu huna unataka ajira gani ?!Kijana.
Kama kweli unataka kumsaidia Rais.
Mshauri aangalie swala la uchumi ukosefu wa fedha na ajira ni mkubwa.
Usimdanganye kwa kumsifia tu.
Mwambie ukweli.