ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,711
- 28,257
Hv Magu alikuraruaga!!Kama magufuli alivyotuachia Deni kubwa la Taifa kwa kuijenga Chatttle,,halafu yeye aka rest in ........
Hv Magu alikuraruaga!!Kama magufuli alivyotuachia Deni kubwa la Taifa kwa kuijenga Chatttle,,halafu yeye aka rest in ........
Kajiralua kwa kujifanya much know,Hv Magu alikuraruaga!!
Huo ndio utahira wenu ccmTanganyika tunarudi nyuma kwa spidi ya mwanga huku Zanzibar ikichanja mbuga kuelekea kwenye neema.
Haya yote kayataka baba wa Taifa, akili yake haikuwaza sawasawaHabari zenu wakuu?
Kama nitamkwaza mtu naomba nisamehewe lakini siwezi kukaa kimya.
Serikali imetoa mpangilio wa matumizi ya mkopo wa IMF , Tsh Trillion 1.3 za kitanzania.
Kama ifuatavyo;
(i). Sekta ya maji- Billion 139.4
(ii). Elimu -Billion 368.9
(iii). Afya - Billion 90.2
(iv).Jamii yenye maisha duni - Billion 5.5
(v). Makundi maalum - Billion 5
(vi). Shughuli za uratibu - billion 5
(vii). SERIKALI YA ZANZIBAR - BILLION 231
********************************************
* Yani Tanzania bara tupo zaidi ya million 55 ila jamii yenye mazingira magumu inapewa billion 5 wakati kwa takwimu za harakaharaka nadhani inakadiriwa waTz wenye maisha duni ni zaidi ya million 7. ni dhahiri hiyo hela haitoshi kbsa maana hata watu wa tasafu wanalipwa kiduchuuuuuu.
*Zanzibar ina wakazi zaidi ya 1 million kwanini fedha zote hizi ziende kwao ilihali serikali ingepunguza walau billion 100 na kuzijaza kwenye yafuatayo...
-mikopo ya vijana yenye riba nafuu au 0% riba
-kuongeza hela kwenye hiyo bajeti ya afya ili hospitali za wilaya na zahanati za kata vijijini vikapata vifaa pungukiwa.
-basi jamani hata walimu kadhaa wajengeeni nyumba za kukaa hata mbili tatu za kuzuga na hyo bilion 100
HAYO NI BAADHI AMBAYO YAPO KICHWANI KWANGU ILA NAJUA KILA MTU ANA YAKE AKILINI.
Ni nini faida ya muungano kwa Tanzania bara?
mzalendo wa kweli.
Hapa kwetu lita ya mafuta ya kula imefika 9000
mkate- 1300
soda -700
mchele wa kawaida 1kg-2200
Chanzo ya picha ya budget -TBC
maoni yaliongezewa - Mzalendo wa kweli
Nawasilisha.
Chattle bado ni Tanganyika kwa hiyo iliijenga Tanganyika!Kama magufuli alivyotuachia Deni kubwa la Taifa kwa kuijenga Chatttle,,halafu yeye aka rest in ........
Laah!Kero za Wazanzibar ni kupewa tu! hakuna hata siku moja wamedai kuwajibika.
Hawajui muungano unaendeshwaje lakini wanajua kugawana
Tuanzishe utaratibu wa Zenj kukopa Tanganyika na warudishe kwa ribà! Tanganyika ikope kwa jina LA muungano nà badala ya kugawana na Zanzibar wao wakopeTanganyika!! Mgao ni wa kutumia tu lakini mkopo ni wa kutumia na kurejesha!! Kwa Sasa kama ambavyo sekta ya Elimu inavyopata mgao na kutumia bila kurejesha ndivyo Zanzibar inavyopata mgao na kutumia bila kurejesha!!
Watanganyika Wana hoja, wasikilizwe!Hivi karibuni, kuna taarifa zilizowekwa wazi kwenye baadi ya vyombo vya habari, juu ya mgawanyo wa mikopo ya nje, kati ya Tanzania bara na Zanzibar.
Mkopo wa pesa ya Uviko 19, tunaambiwa Zanzibar ilipata 18%. Mkopo wa kutoka Japan, tunaambiwa Zanzibar imepata 30%.
Mkataba wa Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, umeweka wazi kanuni ya mgawanyo wa mikopo na misaada kutoka nje, ambapo Zanzibar inastahili kupewa 4.5%.
Kama ni kweli Zanzibar ilipata 18% badala ya 4.5%, na pia ilipata 30% badala ya 4.5%, waliohusika wote, wakiongozwa na Waziri wa Fedha na Katibu Mkuu Wizara ya fedha, walistahili wasimamishwe mara moja, na kama tungekuwa na Bunge, lilistahili kuunda kamati kuchunguza ukweli wa jambo hili, na kuchunguza uhusika wa Rais katika ukiukaji huu wa kanuni za Muungano.
Jambo la kujiuliza:
1) kwa hali hii ya sasa, ambapo nchi haina bunge linalowakilisha wananchi, nani ataihoji serikali?
2) kama trend itaendelea hivi, mpaka kufikia 2025, hali itakuwaje?
3) kama hiki ndicho kinachoendelea, hatuoni kuna njama za kuitumia Tanganyika kuijenga Zanzibar, na kuifanya Tanganyika kuwa 'kubwa jinga?'
4) Hali ikiendelea hivi, na bunge hatuna, nani ataweza kuhoji juu ya jambo hili?
5) Je, hatuoni kuwa kama hali hii ni kweli, mikopo hii inailenga Zanzibar, na Tanzania bara inatumika tu kama daraja, huku kisheria deni likiwa la kwake?
6) Japo hatuombei, kama kukiwa na njama ambazo zikafanya siku moja Muungano ufe, hatuoni hasara itakayokuwepo kwa Tanzania bara kwa sababu madeni haya yote mkopaji ni yeye, na hivyo ndiye atakayewajibika kulipa?
The best policy of friendship is to understand and being understood ! Wanasemaga wanyamwezi !!Watanganyika Wana hoja, wasikilizwe!
Wazanzibar Wana manung'uniko, wasipuuzwe!