ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
Habari wajumbe! Natumai mu-buheri wa afya
Binafsi Kuna jambo linanitatiza sana kila nikifikiria
Historia Inatuambia Tanganyika na Zanzibar ziliungana na kuwa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
kwamba Tanganyika iliungana na Zanzibar kuunda TANZANIA lakini Baada ya Muungano huo Tanganyika haipo tena , ila Zanzibar ipo na inajiendesha
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania + Zanzibar
Tanganyika iko wapi Baada ya Muungano mbona Zanzibar naiona tusaidiane
Binafsi Kuna jambo linanitatiza sana kila nikifikiria
Historia Inatuambia Tanganyika na Zanzibar ziliungana na kuwa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
kwamba Tanganyika iliungana na Zanzibar kuunda TANZANIA lakini Baada ya Muungano huo Tanganyika haipo tena , ila Zanzibar ipo na inajiendesha
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania + Zanzibar
Tanganyika iko wapi Baada ya Muungano mbona Zanzibar naiona tusaidiane